Habari zenu wana Jamvi, naombeni ushauri juu ya hizi fridge zilizopo madukani, ni aina gani ya fridge ni nzuri na inayodum mda mrefu, na ni kitu gani cha kuzingatia wakati wa kununua hizi fridge, maana nmeona kampuni nyingi sana kwa sasa zikiwa zinauza hizi bidhaa.
Mfano, jana nmetaka kununua...
Baada ya miezi ya kujaribu kufungua (bila kufuta taarifa) simu mbili aina ya iPhone [ iPhone 5 na iPhone 7 ] zilizokua zikitumiwa na gaidi aitwaye Syed Farook (21),
Hatimaye FBI yafanikiwa kuingia kwenye iPhone iliyokuwa ikitumiwa na Syed Farook aliyehusika na tukio la kuwamiminia risasi na...
Magu Poverty Focus on Older People Rehabilitation Centre (MAPERECE) in collaboration with Amref Health Africa Tanzania is implementing Empowering Women with Obstetric Fistula Project in Mwanza Region. The project aims to deliver a fistula treatment, psychosocial support, and livelihoods...
Boti tatu zenye silaha zinazoaminika kuwa za Jeshi la Iran zimejaribu leo kuikamata meli ya mafuta ya Uingereza katika eneo la Ghuba bila mafanikio
Shirika la Utangazaji la CNN limeripoti likiwanukuu maafisa wawili wa Marekani wakisema kuwa meli hiyo ya Uingereza ilikuwa ikiingia katika mlango...
Habari zenu ndugu zangu? , nadhani kichwa chajieleza,
Naombenj kjjulishwa Kamojni nzuri ya ku host website yangu, we na bei nzuri,
Asante,
Domain ninayo tayari, nachotaka ni kuhama tu,
Russia is defending Syria’s sovereignty and is trying to work for an end to the bitter civil war at the request of the government of Syria that is officially recognized by the United Nations. There are several reasons for active Russia’s involvement in Syria, here are few that are the most...
Samahani wandugu kwa usunbufu
Nataka postpon chuo, then nipage kaz ka 3 yrs, then nije niombe transfer
Niko first year, hlf ni loan benefishary, nisomee huko ntakapokuwa vip itaeezekana??
Na loan yangu ikawa inanisubiri nienfeleze gurudum la usomaj
Habari za humu ndani ndugu zangu,
Tafadhali naomba msaa wenu, nina modem ya UNIVESAL hiz ambazo zinauzwa bila service provider, kila niki connect haikubali,
Naomba mwenye kujua miweke vitu gani kwenye setting za APN au namna yoyote ile ili i connect,
maana naona mitandao ya nchi mbalimbali tu...
jaman kwa wale wote ambao ka ugonjwa ketu ni haya magem mazuri na makubwa,
hili game ni zuri kiukweli nmeamua kushare nanyi
BONYEZA HAPA kuli download
#Sayay theCompu3rGUY
Hii ni application kwa watumiaji wa samsung smartphone, ni mahususi kwa ajili ya kuangalizia kama simu yako ni original kwa maelezo zaidi na kui download Bonyeza HAPA
Jamani habari zenu wadau wa tec' forums
whatsapp naona wameamua kutoa toleo ambalo litaweza kutumika baada ya kuwa installed kwenye computer zinazotumia windows au Mac Pc'S, sasa naona wanajitahidi kufanyia updates mara kwa mara ili kuboresha huduma zao
kwa maelezo jinsi ya kuitumia na kui...
Kama heading inavyosema,
Naombeni msaada katika Blogg angu, tatizo ni kwamba,
Nmetengeneza blog but nimekwama katika kuzipa link MENUS za blog angu za pale kwenye HEADER,
Kama kuna mwenye utaalam juu ya hilo naombeni msaada on how to do this
blog yenyewe ni hii hapa MapereceAsante sana kwa...
Kama heading inavyosema,
Naombeni msaada katika Blogg angu, tatizo ni kwamba,
Nmetengeneza blog but nimekwama katika kuzipa link MENUS za blog angu za pale kwenye HEADER,
Kama kuna mwenye utaalam juu ya hilo naombeni msaada on how to do this
blog yenyewe ni hii hapa MapereceAsante sana kwa...
Habari za jioni wakuu wenzangu,
Naomba msaada wenu wa kujua majina ya hizi fonts (A & B)
Mara ya kwanza nilikua nazitumia katika designing zangu, sasa baada ya kufanya clean Instalation ya window yangu nkashangaa, project zangu nyingi FONTS zimebadirika, nkagundua nilisahau kuzi buckUP ,
na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.