Search results

  1. Super Don

    Matukio na vituko ulivyokutana navyo kwa waganga wa kienyeji

    Nipe namba yake na mimi niakaoshe nyota Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  2. Super Don

    Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

    Hili ndo tatizo moja kubwa nchii hii inatakiwa kuwe na serikali za majimbo au halmashauri na zisiingiliwe na serikali kuu yaani ipange mambo yake ya maendeleo Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  3. Super Don

    Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

    Swadakta mkuu hiyo dar inayoitwa jiji la nchi ni kituko kika kona. Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  4. Super Don

    Wanajeshi wa Ukraine waongea kwa uchungu baada kuvunjwa vunjwa viungo vyao huko Kherson

    Ulaya kuna nyumba za udongo kumbe Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  5. Super Don

    Mbona sioni ulinzi wa kutisha kwa viongozi wakubwa wa Kenya?

    Wanamuiga super power usa Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  6. Super Don

    Kwanini Ufaransa, Canada, Ujerumani zipo NATO?

    Ulaya wanaiogopa urusi kwa sababu ana nyuklia na wala sio kwa sababu nyingine yetote. Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  7. Super Don

    Kiatu cha Mwakinyo Hakikuwa na shida yoyote

    Jana bendera ya Tanzaia iliwaka moto Taifa star ilifungwa huku mwakinyo akichezea vitasa.
  8. Super Don

    Kwa Saud Arabia hapa nashindwa kuelewa. Inakuaje? Au ni vita ya kiuchumi?

    Mnaanza kuikana nchi yenu tena ya mtume.
  9. Super Don

    Ajabu sana, Waziri anakiri watanzania ni masikini halafu bado anaweka tozo

    Huyu ni mwakilishi wa mipango ya raisi sasa anamwaribia vipi.
  10. Super Don

    Ni kweli USA supremacy ina collapse?

    Issue pia ni je baada ya yeye kudongoka ni nani ataibuka.
  11. Super Don

    Japan yaandaa mizinga 1,000 ya masafa marefu, yakaa mkao wa kuikabili China

    Kwenye world war 2. Kulikuwa na side 2. Side ya kwanza ndo ilikikuwa us,uk,russia,france na china na ndo washindi wa ile vita ndo maana wana kura za veto pale UN na side ya pili ni Germany, japan, na italy. Ambao walishindwa vita.
  12. Super Don

    Kinachoendelea kwenye akaunti za benki za watu ni umafia

    Kama vipi jamani tuandamane. Tusikubali kuonewa na hawa wapemba na wa unguja. Nadhani wanatukomoa ili huu muungano tuuvunje.
  13. Super Don

    Japan yaandaa mizinga 1,000 ya masafa marefu, yakaa mkao wa kuikabili China

    Aisee ni kweli USA ni baba la dunia tutake tusitake.
Back
Top Bottom