Hili ndo tatizo moja kubwa nchii hii inatakiwa kuwe na serikali za majimbo au halmashauri na zisiingiliwe na serikali kuu yaani ipange mambo yake ya maendeleo
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Kwenye world war 2. Kulikuwa na side 2. Side ya kwanza ndo ilikikuwa us,uk,russia,france na china na ndo washindi wa ile vita ndo maana wana kura za veto pale UN na side ya pili ni Germany, japan, na italy. Ambao walishindwa vita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.