mi mwenyewe nina mpenz wangu (25 yrs),ana ukaribu fulan na dingi yake mhhh mpaka naogopa.maana ukiona sms wanazoandikiana na siri wanazoambiana huwa napata maswali mengi sn.
dada yako wala hana jinsia mbili kama unavyofkl,ana umbo la kike na anajinsia moja ya kiume, p'ple call them shemale/tranny(you can google).
Sishangai kuwa dada yako ni shemale lakini nakushangaa ww mpaka umefika chuo hutambui uwepo wa watu wa aina hii hp tz na duniani.
Hk ni k2 cha kawaida tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.