Kiongozi wako amesoma kemia.mambo ya uchumi anayafanya kupitia kauli ya viwanda.
Wewe unaelimu ipi aisee mpaka unatoa uharo huu [emoji35]
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Amekwenda sababu jeneral nkaissery alikuwa ni laigwanani Wa wamasai Wa Kenya.lakini pia lowassa amefanya kazi na viongozi wengi Wa Kenya,wanamfahamu sana kama kiongozi na kama rafiki.lowassa network yake ni kubwa sana na anakubalika east Africa.
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums...
Kkimondoa,Hii mijamaa akili hamna kabisa.mtoa post ameuliza ili ajue.hajasema yeye ni Wa chama gani.
Haya ndio aina ya majitu ambayo yalituingiza ktk mikataba ya madini then leo yanalalamika kuwa tumeibiwa.
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Acha akili za kipumbavu.huyu aliyeuliza hajasema yuko upande gani,nia yake ni kutaka kujua na ametusaidia na wengine ambao hatufahamu.
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Ni mwekezaji mtanzania ila si mzalendo.
Halitunyima media coverage 2015 ktk vyombo vyake.
Akome.atulipe hela zetu.
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Huu ni ukichaa.
Chadema ndio walioingia mikataba ya uchimbaji madini?chadema embu utuambie ni lini ilitawala ktk hii nchi?
Viongozi Wa chadema wameongwa vp Wakati si wahusika ktk mikataba?
Ukitoa mererani,sehem zingine zote kunakichimbwa madini fisiem ndio inaongoza majimbo hayo toka Uhuru.
Wewe...
Nazidi kushangaa...hivyo akiwa RC atatumika kuzuia shughuli za vyama vya upinzani mkoani mwake?atagandamiza kule alikokuwa upinzani?....njaa ni mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.