[emoji4]sauti ya hatari sana mashetani wa karne hii wamezibuka masikio ni viziwii ndio mana nao wamekuja na kubwa kuliko nimakelele mpaka wazibuke du ipokazi.
Wazo lako sio baya kiwanja kisha kujenga baada ya mafanikio ya kitu chengine means biashara.
kwamimi naweza kusema au kuchangia hapo nibora ukiwa na kanafasi cha kujenga jenga kwanza mengine baadae yalisha nikuta hayo nikapoteza Mtaji nikaishia kiwanja. Japo wazolangu lilikuwa zuri biashara...
ingia Google andika whatsapp. Com itafungua page ya whatsapp download bonyeza itakupeleka kwenye whatsapp app download then install then utairuhusu Kupitia kwenye simu yako whatsapp website. Njia hii ni rahisi haitumii bluestack.
Sawasawa tuko pamoja ukianguka kimaisha /kibiashara, usishangae kaza buti kimbiza utafanikiwa tuu. mimi yalisha nikuta hayo huko nyuma tena sio mara moja huwa sishangai walakujuta japokuwa ya naumiza.
Ninacho angalia nini cha kuandaa kwa manufaa ya baadae cha muhimu ni mali zisizo hamishika...
Nunua kioo cha watts 100 2pcs
Bettery 100 Ah 2pcs.
Regulator control 20Amp.
Invt' watts1000.
Hapo nikwamatumizi ya Ac na dc full power taa 12/16.
Kwamatumizi ya vifaa vya dc tuu unaweza chukuwa Kioo kimoja Bettery Moja ina tosha.
Yes nikweli mfano ukiwa ndani ya ndege angani huwezi juwa kama ndege inakimbia speed kubwa .
Hata dunia inazunguka kwa speed kubwa ila hatuioni sababu tupo safari moja. Nimeongeze kwa mtazamo wangu.
nilisha tapeliwa ubungo miakahiyoo yote nitamaa yakutaka simu kubwa wakatihuo ni nokia niliwapa kasimu kangu na bukutano wakanipa simu kubwa ya camera nikaanza safari kurudi mikoani ilesimu alidai ya inshu so nisi onyeshe mpaka mbele ya safari. Kufika njiani kufungua ni sabuni do iliniuma sana...
mtoto mdogo nikama malaika huonavingi kuliko sisi. Pili huwa watoto wadogo wanasumbuliwa sana na tatizo la mvurugiko tumboni ( tumbo kujaa gesi ) hii humsababishia maumivu pia hajakubwa kutoa har...Kali. nini chakufanya. mpe drip water na mafuta ya samaki yaweza msaidia. ila hali ikizidi muone...
Ya nikweli inalipa jirani yangu amepanda huo mkonge yupo vizuri. Ananishauri namimi nipande mkonge tumepakana mipaka shambani NGOMENI UMBA tanga.
pia wanunuzi wahuo mkonge nawafahamu mpaka bei zao kulingana na ubora kama ni OG ipojuu kidogo.
Watanzania tumuungeni mkono raisi wetu ndugu JOHN POMBE MAGUFULI .kwenye vitahii ngumu ya maslahi yanchi. Tuache tofauti zetu kando tupambane kwa maslahi ya Taifa letu.
Tukumbuke hata gadafi alianza mapambano ya kuondoa unyonyaji kwa taabu sana lakini matokeo yake yalikuwa mazuri kwa maslahi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.