Habari ya leo wana jf. Leo nimependa kuwashirikisha kisa hiki kilichotokea mwez wa 10 mwaka huu. Nilikuwa na rafiki wa kuzungu jinsia ya kike, jina lake anaitwa Emine. Anaishi NYC japo asili yake ni kutokea Uturuki.
Alikuwa amenizidi umri kidogo sana. Mtoto mzuri toka. Tulijuana mwezi wa 2...
Wadau heri ya Christmas. Last week nimejifungasha toka Iringa mpaka Tabora wilaya ya nzega kumuoa binti ambaye nimempenda sana.
Nilifurahia sana namna walivyotupokea na namna mchakato ulivyofanyika fasta bila complication nyingi. Kwanza mfumo wa upokeaji mahari wa hawa jamaa ulinishangaza...
Kwa nini MWANAMKE aliye kwisha zaa anapewa nafasi ndogo sana ya kuolewa kuliko mwanaume mwenye mtoto?
Kabla hujamnyoshea kidole Mama mwenye mtoto ila hana mume kwanza jiulize mazingira ya yeye mpaka kukaa peke yake na mtoto.
Sio kila mwanamke mwenye mtoto bila mume basi ukajua alikuwa MALAYA...
Habari za majukumu wadau wa jikuwaa la biashara. Ninampango wa kununua bajaji afu niendeshe mwenyewe. Je ni changamoto zipi hujitokeza katika biashara hii endapo unaiendesha mwenyewe?
habari ya wakati huu wadau. ninatumia Samsung J2 Pro kwa miaka mitatu sasa. lakini sasa betri yake imechoka. ikiwa na asilimia 30 simu inazima pia betri yake imevimba. Naombeni mnijuze wapi naweza pata betry yake orijino. nipo Iringa. Natanguliza shukrani
Miongoni mwa vitu adui amefanikiwa zaidi kwa kina dada ni suala la mavazi, amewaacha waende kanisani lakini amewazuia wasivae vazi la Utakatifu na kuwapa mawazi ya kikahaba. Wasichana wengi hudhania ya kuwa mwanaume ambaye ni muoaji anavutiwa na kumwonyesha mapaja au maungo yake ya Siri kumbe...
KUNA WIZI UMETOKEA BENKI
••••••••••••••• •••••••
Jambazi akasema "wote laleni chini pesa ni za serikali na maisha ni ya kwenu",
wote wakalala chini (HII INAITWA
DHANA ...YA USHAWISHI - kubadilisha
njia ya
kawaida ya kufikiria).
Kuna dada kwa woga akawa
amelala chini kimitego, Jambazi...
Habari ya majukumu wadau wa JamiiForums.
Hivi karibuni App ya Google Chrome imekuwa ikijifungua tabs za matangazo bila mimi kuigusa.
Mfano: Ninaweza kuwa nipo YouTube halafu ghafla Google Chrome inajifungua na kudisplay matangazo.
Naombeni kujua ni namna gani naweza kuizuia isiwe inaji-start...
Wadau habarini za asubuhi. Nimeicopy hii kule tweeter.
Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao . Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA Yaani watoto wa...
Mimi ni kijana ambaye nilihitimu chuo mwaka 2016. Sikubahatika kupata kazi ya fani niliyosomea. Niliamua kuingia mtaani hapa mafinga na kupiga kazi za mtaani kwa bidii na nikawa naweka pesa benk. Sasa nimefikisha milion 10.
Wazo langu ni kununua bajaji na kuiendesha mwenyewe. Naombeni...
Mambo vipi wadau wa JF.
Mimi sio mtumiaji wa FB but juzi kati nikafanya research ndogo tu. Nikatengeneza account FB na kuipa jina la kiume. Ndani ya masaa 24 sikupata friend request hata moja wala SMS.
Nikaunda account nyingine nikaipa jina la kike na kuweka picha nzuri. Huwezi amini ndani ya...
Habari ndugu zangu wa jukwaa hili. Ni matumaini yangu mnaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya covid 19.
Lengo la kuja hapa ni kuomba kueleweshwa. Ninaanza kwa kutoa mfano; nina mashamba kumi yakiwa sehemu tofauti tofauti ndani ya kijiji au kata moja.
Ninampango wa kuchora ramani inayoonesha...
Tumeshuhudia jinsi ambavyo tatizo la Wanawake kutopata Watoto pale wanapowahitaji linavyotuumiza au kuwaumiza Ndugu Jamaa na Marafiki na hata wengine kukata tamaa lakini Bibi huyu wa Nigeria hadithi yake nitofauti kidogo kwa sababu yeye hakukubali kukaa chini.
Unaambiwa kwa miaka 43 yeye na...
Habari ya wakati huu wadau wa jukwaa hili. Natumaini mnaendelea kujikinga dhidi ya Covid19. Ombi langu ni moja tu.
Naombeni mnisaidie app nzuri ya kurecord screen ya simu (Android). App hiyo iwe ni free na inaweza kuweka alama kwa ile sehemu ninayogusa. Mfano, kuzungushia duara au kuweka...
Habari ya asubuhi wadau.
Kuna dogo mmoja kahitimu kidato cha nne 2019. Alifaulu ana Div 3.24. kanitumia ujumbe mfupi akisema kwamba baba ake katumiwa umeseji kwamba mtoto wake kachaguliwa chuo cha ualimu. Sasa juzi kati hapa nimeona Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.