Wakuu,
Tuungane kupeana Riziki. Leo nataka kuunga mkono mwanajamvi mwenye kuuza cameras.
Kama unauza, nataka Sonny Cyber shot. Au nyingine inayoendana na hiyo
Ni PM tufanye biashara.
Nipo Dar
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Wakuu, kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Kwanza naomba nieleze kwamba, taarifa ninazozitoa hapa ni za uhakika maana nimepewa na mtu wa uhakika kabisa ndani ya ASA MICROFINANCE. Nitajitahidi sana kuandika kwa ufupi ili tusichoshane katika usomaji.
Kampuni hii inajihusisha na kutoa mikopo...
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
Wakuu,
Kuna gape nimeliona mahali la kutengeneza pesa kidogo.
Eneo lina uhitaji sana wa movie zilizotafsiriwa kuanzia single na series.
Well, nina mpango wa kufungua ofisi yenye ina deal na hivyo vitu plus stationary.
Shida yangu ni napataje mawasiliano ya hawa ma DJ wanaotafsiri Movie ili...
Wakuu
Bango linajieleza.
Kama unapata shaka kuwa unamaliza mapema mno kwenye show, relax.
Ni vigumu kujua hawa watu wanataka nini. Kumbuka, there's always a second chance. So usiteseke bure.
Chukulia hilo jambo kwa mtazamo chanya kwamba mwanamke wako is sexy enough kufanya ukojoe mapema...
Wakuu,
Nimekuwa nikifuatilia suala la leseni ya udereva tangu April hadi leo sijapata. Naambiwa Hazitolewi, kuna ukaguzi sijui wa vyeti.
Naomba kujua kama ni kweli zoezi limesimamishwa au la. Kama halijasimamishwa, naomba kujua nitumie mbinu gani kuipata kwa haraka.
Habari wakuu,
Naomba msaada wa mawazo, Mungu ametujalia mimi na mke wangu tumepata mtoto. Ila ana siku mbili halali kabisa usiku. Analia tu na ana harisha kamba kamba kama makamasi. Hospital wanasema ni kawaida eti kwa mtoto mchanga.
Sasa nashindwa kuelewa kawaida kivipi mtoto kutokufunga...
Wakuu,
Vijana wengi sasa hivi wamekuwa wakijihisi wana matatizo ya nguvu za kiume kumbe ni wazima kabisa.
Matatizo mengi ya nguvu za kiume husababishwa na kuangalia sana picha za ngono na Punyeto.
Picha/ video za ngono hukufanya uzoee kuona nyeti za mwanamke na hivyo kukufanya usipate hisia...
Habari wakuu,
Naomba msaada, Mjamzito kupumua kwa shida wakati fulani huwa inasababishwa na nini?
Hii kitu inatatuliwaje? Maana hospitali walimpa tu dawa na kumwambia ni hali ya kawaida tu ila sioni mabadiliko.
Wakuu,
Nimeshangaa sana.
Kuna jamaa mmoja ni mhaya, ana hela hela. Sasa ana guest house kadhaa maeneo tunayoishi.
Huyo jamaa ana mke mrembo, mdogo bado, ndo kwanza alimaliza kidato cha sita mwaka juzi ila hakufaulu.
Sasa kumbe kuna mshkaji mmoja ambaye ni bwana kilimo hili eneo, alikuwa...
Wakuu,
Najua kila mtu ana utaratibu wake wa kupiga sounds hizi pisi.
Kimsingi, mimi nikiielewa pisi, nikamwaga verse ndani ya wiki mbili hainielewi, basi naipotezea kabisa.
Huwa masuala ya kuumizana akili na kupeana stress muda mrefu sihitaji.
Baada ya kusema hayo, nayeyuka huku nikiweweseka...
Wakuu,
Usikubali mke au mpenzi wako kuwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni hatarishi kwa mahusiano yenu.
1. Usiruhusu mkeo kuwa na bodaboda wake, bobaboda wa mkeo kuna uwezekano mkubwa akamla.
2. Usiruhusu mkeo kuwa na vikundi vya kikoba vya hovyo hovyo. Kule wanashauriana vibaya na wanachepuka...
Wakuu,
Nisiweke maelezo mengi sana. Kama wewe unapanda Mwendokasi, nadhan pisi za mule mnaziona zilivyo kali.
Yani usipokuwa mvumilivu unawezajikuta unachukua namba za dem mpya kila siku.
Hapa nina list ya namba kama kumi za madem wa kwenye Mwendokasi na sijaanza kuwatongoza bado.
Aisee...
Habari wakuu,
Kwanza kabisa, napenda kuwaomba Modes wasiufute au ku merge huu uzi na nyuzi nyingine.
Lengo la uzi ni kupata feedback tu za wale waliokua na fungus sugu sehemu za siri na wakapata dawa, wakapona kabisa. Naomba watujuze ni dawa gani walitumia wakapona kabisa.
Binafsi niweke wazi...
Wakuu habari,
Nimeona oven fulani huko Twitter ya kutumia mkaa.
Nimeipenda, natamani nifahamu tu namna inavyotengenezwa.
Kazi ya kuoka mikate, keki na skons ndo inayoniweka mjini.. Shida ni kwamba, natumia oven ya kuni. Inanitesa sana na wakati mwingine napata hasara maana ukigeuza jicho tu...
Habari wanazengo,
Mwanangu anaelekea kufikisha mwaka na miezi minne ila bado hajaanza kutembea.
Anatambaa kwa spidi sana kwa kutumia magoti, anaweza kusimamia vitu kama ukuta, meza, kitanda Nk. Pia akisimamia vitu hivyo, balance anayo ya kutosha na anatembea kwa spidi akiwa amevishikilia vitu...
Wakuu..
Natafuta pikipiki iliyo ktk hali nzuri kabisa.
-Iwe haijatumika zaidi ya mwaka na iwe namba C
-Iwe TVS, BOXER ama nyingine yenye muundo huo...
-Bei isizidi 1M
- Location iwe Dar
-Uwe na documents zote original na uwe tayari kuandikishana kisheria.
- iliyotumika kwa matumizi...
Wakuu,
Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..
Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?
Mimi;
Kazime Taa
Huyu hapa bodaboda muelekeze
Shusha nyingine unazozijua..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.