Vijana mbona mnapaniki mambi madogo namna hii. Awe wako asiwe wako, as long as unaishi na mama yake na mama yake ni mkeo huyo ni mtoto wako.
Imagine watu wanao single maza ana watoto wawili na wanaishi na wale watoto hadi wanakuwa wakubwa bila kujua kama huyo si baba yao.
Kwa hiyo...
Matumizi yangu kwa siku ni kama ifuatvyo;
1. Mafuta ya gari 30,000
2. Chakula cha nyumbani 30,000
3. Simu data 5000, Voice 1000
4. Chai na chakula cha mchana nikiwa kazini 15,000
5. Misaada kwa ndugu, jamaa na michepuko 100,000
6. Bia jioni 20,000 pamoja
7. Zawadi za watoto 10,000
Akiba kwa...
Wafia vyama hawawezi kukuelewa ila huo ndo ukweli. Matatizo yetu yanatokana na utamaduni na mifumo ya maisha tuliyoichagua. Kwa mfano.
1. Ubinafsi - kila mtu anajiangalia mwenyewe kwanza na si masilahi ya Taifa. Akipewa kusimamia mradi anaona ndo sehemu ya kujinufaisha.
2. Rushwa - kwa sababu...
Kitabibu harufu kali ya jasho inaweza kuwa ni ishara ya matatizo mbalimbali ya mwili, kama bacteria kwenye ngozi yako, figo kutokufanya kazi vizuri, ini kuto kufanya kazi vizuri, kisukari etc.
Nenda hospitali wakufanyia vipimo ili wajue tatizo ni nini.
Sex inatumia nguvu nyingi. Hivyo ni kawaida kwa mtu yeyote mwanamke au mwanamme kuishishiwa nguvu baada ya sex na kujisikia mchovu. Nguvu zinazobaki mwilini inayegemea na fitness ya mwili. Mwingine anaweza kupiga kimoja akachoka, mwingine hadi vitatu.
Kama mwili si wa mazoezi ina maana kila...
Mbona kama unaelekeza lawama kwa kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa Lecturer au chuo? Unapoingia kwenye mtihani unaonyesha kitambulisho, hawatumii DNA kutambua wanafunzi..Sasa kama hao wanafunzi wanafana akichukua kitambulisho cha mwenzake, unategemea mwalimu agundue vipi?
Ilibeba abiria kiasi gani? Matumizi ya umeme yanayegemea uzito uliobeba. Asije akafikiri umeme unaotumika kuendesha treni tupu ni sawa na ule wa kuendesha treni ambalo lina full load.
Kitanda hakizai haramu. Wewe lea watoto acha story mingi.
Kibaiolojia unachotaka hakiwezekani kirahisi Utapoteza muda na nguvu. Ni mpaka analysis ya hali ya juu ambayo haiwezi kufanyika kwenye labs hizi za kawaida. Inaweza kuchukua mwaka mzima mwanasayansi aliyebobea kuweza kutoa majibu ya...
Mbona issue ndogo hivyo. Yeye akae kimya, aendelee na masha kama kawaida. Asalamiane na kuendelea na kila kitu as nothing happen. Hakuna haja ya kuomba msamaha wala kuhaingaika huku na huku.
Hii ni kwa sababu.
1. Shemeji hawezi kumwambia mumewe.
2. Mumewe hawezi kujua kwa nanmna yoyote ile...
Haya mambo ni ya kitaalamu..Unatakiwa uanze kwa Daktari, yeye ndo akuandikie ukape hiki na hiki na hiki. Sasa wewe unanyanyuka kwenda moja kwa moja Maabara halafu unafika unawaambia nipime taifodi, nipime malaria. Jilaumu mwenyewe kwanza kabla ya kurudha tuhuma kwa watu.
Kimsingi waliommaliza Lowasa kisiasa ni CHADEMA. Hii ni kabla Lowasa hajahamia CHADEMA. CHADEMA walikuwa wame mchafua sana sana Lowasa. Kiasi kwamba kwenda na Lowasa kwenye Uchaguzi ilikuwa ni ngumu sana. Maana Dr. Slaa ange mgalaza sana na kwa jinsi walivyokiwa wameaminisha umma kuwa Lowasa ni...
1. Nyumba iko sehemu gani?
2. Ulikuwa unajenga nyumba ya kuishi au kupangisha?
3. Kwani hizo fedha za kujenga hadi ukafika hapo ulipoishia ilizipataje?
4. Je ulizinganga kwa muda gani?
5. kwa nini sasa unataka umalizie haraka? Kwa nini usisubiri upate pesa taratibu?
Elimu lazima iendane na mazingira. Tatizo letu tunachukua elimu ya wazungu kwenye mazingira duni. Hebu niambia nani hapa bongo anahitaji mtu mwenye ujuzi wa Artificial intelligence? Labda kufundisha vyuoni.
Achana na UTT, achana na Fixed account, awekeze hela zake kwenye Bond atulie. Atapata hela kila baada ya miezi 6 lakini ni uhakika. Faida ni 10 to 12% kabla ya kodi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.