Inauma sanaaa. Kibaya zaidi wanasema uwongo. Kama tungelijua ajira hazipo hadi 2018. Watu tuliyomaliza vyuo 2015 tungeenda kujiendeleza kusoma. Angalia hadi sasa mtu umepoteza miaka mitatu huna unachofanya na bado wanakupa matumaini hewa.
Habari zenu wakuu. Ninapenda kufahamu kama hapa bongo huwa Kuna mshindano ya kumtafuta gwiji wa kucheza game la Tekken. Yoyote Mwenye taarifa anijuze tafadhari.
Ndugu fuata ushauri huu utakukusaidia
1. Fanya mazoezi ya kuongeza mapigo ya moyo mfano kukimbia au nenda gym Mara 5 kwa week ( itakuongezea furaha na kujiamini)
2. Jifunze Ku meditate au yoga na ufanye kila siku
3. Anza kupumulia tumboni na sio kifuani
. na muda wwte utakao pata woga vuta...
U
Unachosema Ni kweli , but utambue hamna kijana anaependa kukaa bila kuwa na shughuri ya kumpatia kipato. Hiyo kulima utalima vipi huna pesa ya mbegu , huna shamba huna resource yoyote. Na taasisis za kukopa wanataka wakute umeshaanza kufanya shuhuri. Kwa familia zetu za ki Tanzania life gumu...
Ili misuli itanuke inabidi kuongeza reps na set kama ulivyosema. ILA pia kwa wale wanaoenda gym wanatambua iliku gain muscle Ina bidi kuongeza uzito unaobeba. Inashauriwa ubebe mzigo mgongoni wakati unapiga push up ukiwa umeshazoea ili kujenga kifua.
Napia inabidi ufanye diamond push ili...
Habari zenu wandugu, niko mwanza nimejaribu kutafuta hii suppliment sijaipata labda Kuna mtu anaifahamu ilipo anisaidie Ni bei gani na kwa ujazo upi. Nina prefer kampuni ya Optimum Nutrition.
Any help will be highly appreciated
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.