JE KABLA YA KUMUUMBA HAWA MUNGU ALIMUUMBA MWANAMKE MWINGINE?
Wapendwa naomba mnisaidie ukisoma mwa 1:26 - 27 hapo Mungu alimuumba mtu mwanamke na mtu mwanaume je huyu mwanamke aliyeumbwa hapa ni nani? Wakati huo huo Hawa aliumbwa baada ya Adam kulazwa usingizi na kuchomolewa ubavu? Mwa 2:18 -...
Sioni sababu ya kuwalaumu TUCTA kwani wao hawezi kumpangia kiranja mkuu afanye lipi na lipi asifanye kiranja mkuu anajiona tayari yuko peponi kwa kuupata huo ukiranja mkuu anaishi anavyotaka!
Teh teh teeeh! Wao wakitumbua hakuna anayewahoji ila sisi watatutafuta kila upenyo wachukue chao na chetu pia hao sio binadamu wenzetu wanajihisi wao ni malaika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.