Mabomu hayo ulimpa weye,shenzi kabisa,hivi ulimbukeni wa polisi hawa wmkamate na mabomu washindwe kuyaanika kwenye vyombo via habari,hivi inaingia akilini,mbona nyie mijitu munakuwa wajinga hivi. Kweli elimu ni shida kweli hapa tnz,mijitu inacoment utasema inatoka kuzimu.
Maneno yako maxima,Mwinyi hakubaliki wala hakushinda,wala hatopendwa,ccm wenziwe na wapinzani,na yeye analijua vizuri hilo, kutaka maongezi na Maalim ni kutaka kumtumilia ajisafishe na watu wamkubali,kishiriki kwenye serikali haramu halina umuhimu kwa waznzbar wala kwa maalim,zaidi ya kutaka...
Jiulize usikuu huo wanampiga ndani mabomu,au kina vita? musiwe wajinga mpaka ukawapofua, wananchi wameuliwa tena wakiwa kwenye shughuli zao za kawaida, halafu munasema ni uongo,muongo ni huyo jiwe wenu na chama chake,miaka 50 kazi yenu kupanga na kusema uongo mukdhani kila MTU ni muongo.
Hao...
Musishupalie musiyo yajua,hao watu wamepihwa wakiwa katika shuhuli zao za kawaida,wamevamiwa na kurushiwa risasi mabomu waliona hayato watoa roho,wewe unaye sema haya Allah akufungue macho uone dhulma inayo fanywa na madhalim wa CCM, la Kama unajitia upofu wa kusudi,nasi akuoneshe hapa hapa...
Kama munaona hakina maana,basi iondolewe kwenye official language, ibakie kiswahili,tabu ya nini, kwa nini munganganie lugha ambayo munaona haina umuhimu. Huyo munae muabudu ndio hakijui musitafite visingizio, aibuuuuu
waambie serikali iondoe lugha ya taifa English, ibakishe kiswahili tu,musituletee tabu, document zote za serikali zinaandikwa kwa lugha zote mbili, na official languages ni kishwahili na English, iweje basi kiongozi wa nchi asiweze kuongea, halafu munashabikia.
Mtu alosoma kwa English mpaka...
Utani!!! na kwa mambo ya wanawake tu!, hivi kumbe hizi ndio Sera eeh, badala ya kuelewesha mambo ya msingi,yeye afanye utani, na kila anapo pita lazima huo utani,ingekuwa Mara moja ndio,lakini kila apitapo akifungua mdomo ni wanawake tu, hizi zi kampeni za uraisi, awe serious, Kama ataka...
Ziulize kabla ya huo uvamizi wenu wa mkoloni mweusi Zanzibar ilikuwa ikisaidiwa na Tanganyika?, musitufanye wajinga Kama munavo fanywa na ccm yenu,Zanzibar ni ilikuwa ni nchi kamili na utawala wake, miaka mingi nyuma,Leo munatufanya mazuzu eti muungano kwa ajili ya usalama,pumbavu...
Jamaa atafuta kila aina ya Kiki ili watu wasahau ripoti ya CAG, lakini Hilo halifutiki,yaani sie wengine tulikuwa hata hatujui mambo haya ya ripoti,lakini utawala huu umefanya kila mtu awe Ni mfuatiliaje was mambo ya serikali kwa ukaribu sana,kila udhalimu ukizidi,raia huzidi kufungua akili zao.
Takbir haijatajwa popote kwenye hadithi Wala mafunzo ya Mtume wetu (SAW) Kama itajwe sehemu maalumu,takbir unasema wakati wowote na time yoyote,hizi Zi adhkar za kila siku,huyo shehe njaa na akasome Tena.
Sijapatapo kuona mijitu mihasidi na roho mbaya kama jiwe na mtungi, yaani watu wako na furaha zao,wao tayari roho zinawatoka,Hasbiyallah,naona hawa viumbe wana damu ya firauni hawa si bure. Tanzania imekuwa ni nchi yenye watu wasio na furaha kumbe sababu ni hawa maluuni,wakiona watu wanafuraha...
Mutamaliza maneno yote,ndio hivo Tena maalim kawaachia chama,Sasa Kama unasema atakuwa Kama mrema basi jitazame Tena,naona huyo lipumbavu lenu ndio litaungana na mrema kwa maalim mutasubiri sana anguko lake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.