Habari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna wakati huwa anachelewa kurudi ananiambia ni mambo ya kazi tunasort yanaisha.
Sasa majuzi nimekuta...
Habari za wakati huu wakuu
Kama mnakumbuka juzi nilileta uzi wa kuomba ushauri kuhusu mpenzi niliyedumu naye kwa miezi 5 na kutokana na tabia zake za kununa hovyo na nyingine kama hizo
Jana kanitibua tena kwenye simu tatizo likiwa lilelile la kununa hovyo na kutaka abembelezwe kila saa leo...
Habari za usiku,
Kuna mwanaume nimedumu nae kwa takribani miezi 5 mpaka sasa lakini kitu kinachonikera ni mtu wa kuzirazira na kususa susa sana mpaka najiuliza huyu ana mapenzi ya dhati kweli maana mimi najua mwanaume hasusi na hasa kwa mwanamke ampendae na pia huwa sio mtu wa story.
Yaani...
Habari za sikukuu wakuu hope ni wazima najua hili ni jukwaa la kazi lakini nimeshindwa kuelewa jukwaa husika pa kuleta Uzi huu nimeona nije huku.
Ni hivi mimi niko dar nimepata dharula kubwa ambayo naomba wanajf mnisaidie , mamaangu anaumwa miguu anatakiwa kufanyiwa operation na gharama ni laki...
Hii Picha imeniaminisha kwamba lulu ameachana na majizo maana sio kwa kukonda huko.[emoji116] [emoji116]
Check hii Picha akiwa na majizo[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kumbe pesa sabuni ya roho,. Ila niliipenda couple yao coz nakapenda kalulu
Habar za Asubuhi wana MMU .
Kuna rafiki amekuja Jana ananisimulia kwamba alienda kwa boyfriend wake wakati anapanga panga vitu ndani akakutana na chupi za mwanamke, kwa hasira rafiki yangu akaondoka maana boyfriend wake hakuepo lakini zile nguo akiziacha kitandani ili iwe rahisi huyo mkaka...
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.