Kilometa 5 nyingi sana…wanaachana umbali wa mita zipatazo 100 au 200.
Bila kuwa poti mwenzao Arusha-Moshi hutoboi bila kuacha ya kipigia kiwi..
Na kubambikiwa speed zaidi ya 50 kwenye tochi zao ni kawaida kabisa..
Ni kweli kabisa.
Kuanzia vile vidada vyenye sura ngumu pale mapokezi mpaka madaktari ni kufanya kazi kwa kujuana tu.
Nilimpeleka mwanangu pale wiki mbili zilizopita nimekaa reception lisaa lizima ikabidi niende kuomba kadi ya bima ya mtoto nikaondoka zangu.
Utashangaa tu kuona wanakuja watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.