Search results

  1. Cybergates

    Nyagaka Ouko ni nani?

    Nairobi! Kijana wenu hapa, Naomba kujua huyu jamaa ni nani, biography yake na anafanya nini? Huyu alikua mfanyakazi wa safaricom na ndio father wa Mpesa miaka ya 2012, sema hajulikani na founder na mpesa anajilikana kama Nick Je nini kilimkuta?, alifungua kesi au yupo yupo tu innovation...
  2. Cybergates

    New Backend: Python + Cpp , Kama security na speed ni kipaumbele chako

    Hasa kwa complex project Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend. Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na...
  3. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Wakuu! Wazee wa kutafuta vichaka vya kujifichia sasa tumefikiwa. Nimekua nikitumia linux kama primary kernel kwenye laptop yangu kazi Moja ya sababu ni usalama, kupinguza attack, virus etc zinazo sumbua kwenye windows os Sasa kuanzia update ya trh 25 - 29 /3, red hat waligundua backdoor...
  4. Cybergates

    Niliyoshuhudia leo, kama sio lazima usipande bodaboda

    Kama haina ulazima usipande boda boda Leo nime shuhudia ajali ya bodaboda, abiria + dereva wamedondoka (wamerushwa kushoto mwa barabara) kilicho ni shangaza ni kuona pikipiki inawafata dereva na abiria walipondondekea kwenda kuwa bonda. Kama una pikipiki kuwa makini hasa nyakati za jioni...
  5. Cybergates

    Serverless Service: Hizi huduma ni expensive sana hasa kwa startups

    Wakuu, Webservice ndio chanzo kikuu cha umaskini kwa IT wengi, leo nilikua nafanya malipo kwa service nazo zitumia kwenye personal projects, aise ukifanya mchezo fedha zako zote zinaishia huku. Ipi ivi assume, una webservice backends ipo powered na rails, frontend ipo react: Serverless...
  6. Cybergates

    Kuna ndugu tulisoma naye, hayupo kabisa kwenye mitandao ya kijamii

    Wakuu, Hili jambo linawezekana kuonekana kawaida, lakini limenishangaza kidogo. Leo nilikua napitia habari huko mitandaoni, nikapata wasaa wa kuongalia taarifa za baadhi ya jamaa tulio kuwa pamoja kipindi cha nyuma. Kitu kilicho nishangaza ni kuona kuna account moja ya mtu tulikua tunasoma...
  7. Cybergates

    Motivation Speaker: Technology ukiipatia unatoboa mazima

    Ipo hivi 1. 10-20M/month 2. 80% - Profit Margin (kila elfu 10, elf 8 faida) 3. App/web in yako pekeyako 4. Bootstrapped 5. Uhuru wa kiuchumi Hii inawezekana kufanyika hapa hapa Tanzania? Nadhani hii ni applicable labda nchi za ulaya na US huku kwetu elimu ya tehama na matumizi yake bado
  8. Cybergates

    2024: Bora kuanza kunifunza animation kuliko programming

    Maoni!! Wengi huwa tuna malengo ya kujifunza mambo mapya huu mwanzo wa mwaka, Je ni kipi cha kujifunza kati ya animation na programming? Kama mimi ningeambiwa nichague ningeenda na animation Animation ina fursa sana na soko kubwa kulinganisha na programming, kuanzia 2D hafi 3D soko...
  9. Cybergates

    Machine To Machine (M2M) Sector nzuri upande upande wa Technology kwa vinaja ku invest

    Ukuaji wa technology pamoja na fild zake kama AI, robots, autonomous na IoT Umeongeza fursa hasa upande wa M2M. Kama unampango wa kua billionea miaka ijayo anza sasa, fanya research na kuona fursa zinazokuja na hasa kwenye nyanja ya M2M NB: Founder wa openAI alianza kujifunza ML and AI...
  10. Cybergates

    Hamna kazi ngumu upande wa IT kama ku upgrade software

    Skia tu kwa watu Ku-upgrade sytem kutoka version moja kwenda nyingine sio shuhuli nyepesi, ni bora kufanya development upya
  11. Cybergates

    Rasmi Django 5.0 ipo released

    Wale wote tunaofanya backend kwa python hii ni baada ya mda saaaana kupita ni rasmi django 5 ipo live kwa ajili yetu Django5.0 nilikua naisubiri kwa mda mrefu ili kufanya baadhi ya project zangu Moja ya features ambazo nipo excited kuzitumia ni 1. db_default Hapo kabla kwenye database...
  12. Cybergates

    Dell vostro 3400 inauzwa

    Dell vostro i3 3400 kwa 1.2M Lipia kwa Installment, 25% kwa mara ya kwanza kiasi kinacho baki utalipia ndani ya miezi 3 Maelezo zaidi, picha manunuzi click link hapa...
  13. Cybergates

    Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

    Haya sasa Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO ) Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake Kiufupi amafukuzwa kwenye...
  14. Cybergates

    Gari gani zuri la kuanzia maisha?

    Gari gani zuri dogo dogo la kufanyia mizunguko hapa mjini Ukinzingaria mambo kama ya ulaji wa mafuta na pia urahisi wa kujipenyeze, vipuli etc
  15. Cybergates

    Akufukuzae Hakwambii Toka, Njia ngani nzuri ya kumwambia mtu sasa ni wakati wa yeye kwenda?

    Wakuu, Njia gani bora ya kumwambia mtu sasa ni wakati kwenda kwake? Mara nyingi wana wakija lbd kuangalia movie au kutumia Internet unawez kumuambia "Aise mda wa kusepa huu" mtu anakuelewa haina hata shida naondoka Shida ni kwa wadada toka asubuhi mpaka mdaa huu bado mtu hana mpango Na pia...
  16. Cybergates

    Habari njema kwa Python developers, sasa rasmi python kuachana na GIL

    GIL ilikua ina tulimit sama ku apply parallelism bila ya msaada wa third-part library. Asubuhi hii nimekua na furaha kuskia sasa ni rasmi cpython core developers wameamua rasmi kuachana/kuwa option kutumia GIL tutegemee kwenye matoleo mapya python GIL itakua option kwa developers kutumia ldb...
  17. Cybergates

    Hosting ni expensive sana

    Aise kama unataka kuanza ku code kitu kabla hauja chagua frameworks hakikisha unapitia cost za deployment kwanza, bila hivyo utajikuta system yako unatumia mwenyewe kwenye localhost Ipo hivi ulitumua python kama backend cost hazishikiki Web App - Tumetumia Azure web app ($55/mo) Postgresql -...
  18. Cybergates

    Njia niliotumia kupata kazi bila ya kuwa na msaada wa connection yoyote

    Wakuu! Huwa wanasema sharing is caring. Ngonja ni wape Tips wapamabanaji wenzangu na watu wote ambao bado wanatafuta nafasi za kazi na pia kwa wanafunzi ambao bado wapo chuo. Hii trick niliitumia mm mwenyewe kama kufanya majaribio ya kupata nafasi amabazo hazipatikani kirahisi UTANGULIZI...
  19. Cybergates

    Jinsi ya ku-run localhost website kwenye simu kwa kutumia hotspot

    Sometimes Bhana naona watu wengi aki code style website yake kidogo tu anaanza ku inspect elements aangalie jinsi gani iyo style inaonekana kwenye mobile. Hii trick pia inakupa access ya kutumia website yako wakati bado ipo kwenye development jinsi gani muonekano wake utakuwa kwenye simu...
  20. Cybergates

    Gamers: what game are you playing right now?

    He'll bosses, Wale tulio na games kwenye devices zetu, ni game gani unacheza sasa Mm sio mpenzi sana wa games lkn sometimes na cheza mara nyingi napenda ku cheza game amambazo zina run online sio kudownload application. Currently nacheza gama inatwa GO hii ni game origin yake ni huko china...
Back
Top Bottom