ndugu wana jf kuna fursa za kibiashara tanzania nzimana afrika kwa ujumla kila mtu aweza kufanya bila kuangalia cheo, kazi, au kipato chako ni biashara rahisi yenye kutumia mda mchache sana katika siku yako mzima inaitwa NETWORKING MARKETING BUSINESS. KARIBUNI SANA KUJIUNGA NI BURE wewe tu...
wana JF napend kuwashirikisha katika ajira binafsi ambayo ni rahisi na haitaji mtaji mkubwa, inaitwa NETWORKING MARKETING BUSSINESS ni ajira mzuri kwa wenye ajira na wasiokuwa nayo huwa hairumii mda wako ni part time, kwa maelezo zaidi nitafute via.0784938465or 0714596587
bwana hapa hatupo kuibiana wala kukomoana wewe kwenba zako kwa kifupi hatutaki hiyo kazi hao walio kupa hizo laki moja duuuuu ni wenzio hatudanganyiki ngooooooooooooooooooooooooooooooooooooo hiloooo
jaman wana jf mimi nimehitimu homec sua mwaka jana bado sijapata kazi, ombi langu kwenu, naomba mniambie niandikeje cv na cover letter ili iwe considered, pia naomba atakae penda na kuguswa nimpe cv yangu private anisaidie pia, kwasasas nipo kilimanjaro nina family problem siwezi kufuatilia kazi...
Mkuu nimesoma homec nimefanya field kiwakuki ambapo nilikuwa nashulikia na home based care activity pia nimefanya field cords centre for research and sustanable development, for now am volunteer at kilimanjaro volunteer which is an ngo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.