Mke anaumwa tumbo ni mjamzito ameenda kituo cha afya na kuambiwa kuwa damu imeganda katika mirija ya uzazi. Je kuna dawa ya kuyeyusha hiyo damu?
Na pia je akitumia hiyo dawa mimba haiwezi kutoka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.