Tatizo baadhi ya watu hawana utu, wao hujitazama wao tuu na kuwatumia wengine kama ngazi kufika wanapotaka. Ubaya ni kwamba, wanasahau kuwa wao ni kuni ya akiba, walimtumia Mgonjwa Lissu kama mtaji wa kisiasa kujipatia umaarufu, kutoa matamko yasiyo na msaada kwa afya ya mgonjwa, wengine...
Nchi inasonga kwenye mstari mzuri tu mbona mleta thread! Hicho ulichoandika ni kizuri ila kwa upande wa kushauri na sio kutuaminisha kuwa nchi inaenda siko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.