Inauma sana kuna mwaka mambo yanakunyookea unashika adi milion kila mwezi then kuna kaupepo kanakuja vuph! Unajikuta hata Mia unapata kwa kazi.
Hivi hii ndo system ya dunia au ni uzembe fulani tunaufanya? Je, wewe kwako unaona ulipoteza pesa zako sababu ya uzembe au nature of system?
Baada ya kutoka JKT, kuna ofisi mmoja aliwashauri walipe laki 5 ili apate nafasi ya kazi ya upolisi cha kushangaza hadi Leo kimya ukiuliza anasema imeshindikana. Lakini pesa hua ngumu kurudi. Mimi sikushirikiswa nakuja ambiwa leo baada ya kuona hakuna kazi.
Nimeumia sana kuona ndugu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.