Rais Magufuli akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Nyamongo mkoani Mara amewaamuru Waziri wa madini na Mkuu wa Mkoa kumtafuta mtu aliyetajwa kwa jina la King'anya ambaye ndiye mhusika wa mfuko wa kusaidia Wilaya hiyo toka kwa kampuni ya Acacia uitwao North Mara Trust Fund.
Hii ni baada ya...
Makontena ya Makonda yanadaiwa kodi bilioni 1.2!Baada ya Makonda kushindwa kulipa,imeamuriwa kupigwa Mnada!
Ikumbukwe tumeambiwa makontena hayo ni msaada toka kwa wanadiaspora!
Sasa najiuliza,iwape itapatikana labda bilioni 10,je pesa yote hiyo inachukuliwa Na TRA au wao wanachukua chao tu...
Kwa wanasiasa wanaotaka kuendelea kuwa na vyeo walivyonavyo au kuongezwa madaraka basi lazima waisome game na kufanya haya!
*Fanya majukumu yako kwa nguvu(Hakikisha unapata back up ya media mara moja moja kupata kiki)Kiki ikizidi sana utashtukiwa!
*Hakikisha penye uchafu unapaka...
Tafsiri pana kutoka kwa wana-philosophy waliotangulia!
Patriotism means to stand by the country. It does not mean to stand by the president or any other public official, save exactly to the degree in which he himself stands by the country. It is patriotic to support him insofar as he...
Nimechukua muda kufuatilia hizi mashine za bonanza,kwakweli ni wizi mtupu!
Serikali imebariki machine hizi kuingizwa na wachina na kuzipeleka mitaani kwa sh 100,000 kwa mwezi kila mashine!
Nimechunguza,mashine hizi ziko programmed "kula kingi" na "kutoa kidogo"! Randomly,kama wakicheza watu...
Bunge lilizuiwa kurushwa live ili watu wapige kazi ikiaminika kuwa muda huo ni wa kazi,yaani hapa kazi tu!Basi ili kuifanya dhana hii iwe kweli tuzuie TV,radio na social network kuoperate muda wa kazi ili watu wengi wapige kazi!
Hii inamaana hata kiki za JPM kupokea gawiwo tuzione kwenye taarifa...
Kuna kipindi nilisikia waliotumbuliwa na kurudi home na hawafanyi kazi yoyote mishahara yao ilikuwa mil 300+ kwa mwezi!
Kama kuna mtu mwenye taarifa kwa sasa zimefika sh ngapi atujuze hapa.
Hiyo nimeisikia akiwa anazungumza na viongozi wastaafu!Anasema hata huko duniani wanamuacha Rais anaongoza anavyotaka,kwamba atakuja kuhukumiwa baadae!
Akatolea mfano Obama,kwamba yuko kimya kamuacha Trump aongoze kivyake!
Kauli hizi zimenishtua sana,kwamba JPM anataka aachiwe nchi aongoze...
Katika hotuba yake wakati wa kuapisha walioteuliwa,JPM alisema huwa anafuatilia mijadala ya wabunge hasa wa CCM!
Nijuavyo kipindi cha maswali na majibu ndio huwa kinakuwa live, baada ya hapo matangazo yanazimwa! Najiuliza kama ni kweli kauli yake kuwa huwa anafuatilia mijadala ya Bunge, huwa...
Wadau hayo maneno aliyasema wakati akihojiwa na Tido Mhando katika kipindi cha funguka!Bahati mbaya JF haikuwa hewani!
Swali no je,yeye ni mbunge wa jimbo gani?Maana mwenyekiti wake amezuia watu wengine tofauti na wabunge kufanya mikutano ya hadhara,na zaidi hao wabunge wafanye kwenye maeneo...
Kazi kubwa ya bunge ni:
1.Kutunga sheria
2.Kuisimamia na kuishauri serikali
3.Kupitia,kurekebisha na kupitisha bajeti inayopendekezwa na serikali.
Nimepata wasiwasi pale wabunge wanapogeuka kuwa serikali kwa maana ya kujikita kutetea jambo lolote linaloletwa na serikali badala ya kuwaachia...
Wakati huu ndio tunashuhudia dola ikiwa Na double standard ya hali ya juu! Jambo moja likifanywa na mpinzani hasa wa Chadema, basi utaona vyombo vya dola vilivyo active, lakini jambo hilo hilo likifanywa na mwanaccm basi ni suna na kuona ni jambo la kawaida tu!
Mpaka siasa,kuanzia Lema, Msigwa...
Leo kwenye ufunguzi wa hospitali ya taaluma na Tiba huko Pwani,nimeshangaa Makamu Wa Rais kufika kabla ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda!
Kiitifaki hii ikoje??
Source:TBC1
Takribani mwezi mmoja uliopita nilienda kigoma wilaya ya kasulu katika kijiji cha kabanga!
Kulitokea tafrani ambapo mwananchi mmoja aliuwawa na wananchi wenye hasira kal(sitalizungumzia hili)!
Baada ya tukio hilo, waliletwa kikosi FFU na askari wa kawaida kurejesha amani!
Wananchi wengi...
Nadhani uhusiani wa Kenya na Tanzania umeyumba,hili linapata back up ya maneno aliyotoa Raila Odinga wakati wa kampeni,aliwaahidi wakenya kurudisha uhusiano mwema uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya na hasa suala la trade kati nchi hizi mbili!
Kwasasa uhusiano wa Tanzania umeimarika na nchi...
Wote tulishuhudia jinsi waandishi na viongozi wa CUF walivyovamiwa na kupewa kichapo wakiwa wanafanya press!
Kambaya alikiri kuwatambua na yeye na lipumba waliwatuma wavamizi hao kuimarisha ulinzi wa chama!
Mmoja wa wavamizi alikamatwa na kupigwa na wananchi wenye hasira na yeye kukiri...
Makonda amekuwa akirudia kauli kuwa clouds hawajafungua kesi ya uvamizi dhidi yake!
Ikumbukwe kitendo anachotuhumiwa kukifanya ni kosa la jinai!!!!
Jana Ruge kaweka kuwa si kweli kuwa hawajafungua kesi,kesi walifungua Polisi Oysterbay!
Ni wakati sasa wa polisi kutueleza kesi hiyo imefikia...
Tukio la jana hakika limewaacha wadau midomo wazi!TEF imeidhalilisha sana tasnia ya habari nchini!Nilitegemea mkutano ule, Makonda aombe radhi japo bado kungekuwa na kasoro fulani maana alitenda jinai na kesi ilishafungukiwa Oysterbay! Lakini kwa jeuri, Makonda akasema kuwa hawezi kuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.