Mr. Truth!! Bei ya Mkaa itapanda maradufu, EWURA yaomba kupandisha bei ya umeme kwa asilimia 18, Wanafunzi 30,000 wakosa mikopo vyuo vikuu, Benki X yafilisika, Bunge halina fedha za kurushwa LIVE.
Nchi inabana matumizi, ziara ya Mkuu wa Mkoa "LIVE", Bombardier Zanunuliwa, Nchi ya Viwanda...
mm naona serikali inapoteza pesa nyingi kusomesha asilimia kubwa ya wanafunzi wasio na moyo wa kusema.Elimu bure ililenga kuwasaidia watanzania wa kipato cha chini ambao walishindwa kusoma kutokana na kukosa ada bila kuchunguza kwa undani kama je wana moyo wa kusoma?!..mimi naona huko cyo...
*_Najaribu kufikiria tu. Januari huwa ngumu kimaisha miaka yote...sasa najaribu kuvuta picha Januari ya mwaka kesho itakuwaje!*
NAJIKUTA NAIMBA ZANGU,
#hatunywi_sumu_hatujinyongii[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
hivi punde kuna taarifa kuwa walimu watachangia madawati kiasi cha Tzs5000 kwa lazima na deadline imewekwa.Hawa watu wako serious kweli coz unakuta shule nyingi apa Tz hazina nyumba za walimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.