Kupitia siku hii ya wanawake duniani napenda kuwapongeza wanawake woot kwa :-
UVUMILIVU WAO PALE WANAPO KUWA KATIKA WAKATI MGUMU
1.KU TELEKEZEWA FAMILIA
2.KUHAKIKISHA FAMILIA INAPATA MAHITAJI YOOTE BILA KUJALI UWEOO AU KUTOKUWEPO KWA BABA
Mengine jazieni
3.
4.
5.
GOD BLESS THE WOMEN!
Habari wakuu
Nimepata fununu kuwa kuna tafiti mbalimbali zinazobainisha kuwa watu wenye kundi O la damu huwa WAGUMBA au uzazi kwao ni nadra sana.
Nasikia kuwa hata wakipata watoto huwa hawazidi 3.
Sisi wenye kundi hilo la damu ndio tunaujua ukweli hivyo naomba shuhuda zenu.
Je, hili suala ni...
Kuna vitambulisho vimeokotwa royal village Dodoma vya mwanachuo wa IRDP jina Mussa Mwamtemi yeyote anae mfahamu huyo bwana mussa mwamtemi tuwasiliane kwa pm ili vimfikie muhusika.
Ahsante
Habari wapendwa.
Leo nawaletea pishi la mlenda wa bamia bila kuweka magadi.
MAHITAJI:
BAMIA
MAJANI YA MABOGA AU MATANGO,AU CHINESE
KARANGA
SUFURIA
KIJIKO MPIKICHO AU MWIKO
JINSI YA KUNDAA
CHAMBUA MAJANI YA MABOGA YAKOSHE KISHA YAWEKE NDANI YA BLENDER YASAGE YALAINIKE.
SAGA KARANGA KWA BLENDER...
Habari zenu wakuu.Kumekuwa na jambo hili MBWA WAMECHIMBA SHIMO KUBWA UWANI KWANGU NA WANAENDELEA KUCHIMBA ENEO JINGINE JE HII INA TAFSIRI GANI KIIMANI.
NATANGULIZA SHUKRANI
Habari zenu wana jukwaa.kama kichwa cha mada kinavyo jieleza
hapo juu.HIVI TANZANIA TUNA ASKARI WA KUJITEGEMEA?
naomba kufahamishwa kwa yeyote anaye fahamu kuhusu hilo.
NATANGULIZA SHUKRAN
sent from my xtigi universal chager
Watu wengi huanzishiwa dawa mara tu akipimwa na kukutwa na sukari ipo kuanzia 10 -12 haswaa wale wa aina ya pili ya.kisukari, kimsingi ni makosa.angalia iwapo kiwango cha sukari yako katika damu ni 4-11 ukiwa hujala chochote hiyo ni normal range.
Na inapo kuwa 4-14 ukiwa umekula ni normal...
HABARI WAPENDWA NINAUZA UNGA WA LISHE MCHANGANYIKO WA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA UNAFAA KWA UGALI NA UJI PIA.BEI NI RAHISI KWA MAWASILIANO 0754621792.KARIBUNI
HABARI WAPENDWA NINAUZA UNGA WA LISHE MCHANGANYIKO WA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA UNAFAA KWA UGALI NA UJI PIA.BEI NI RAHISI KWA MAWASILIANO 0754621792.KARIBUNI
Habari wakuu napenda kufahamu zinapopatikana mashine za kupura au kupukuchua mtama wauwele na mtama wowote kwa ujumla. itakuwa vema kama tajulishwa aina na bei zake.Mimi nipo Dodoma
NATANGULIZA SHUKRAN
Habari zenu wandugu,naomba ufafanuzi wa kitabibu juu ya suala hili:-
Inasemekana, ukijisaidia choo kubwa na kikaelea kwenye sink la choo una matatizo ya kiafya, je hili lina ukweli?
Ahsante natanguliza shukrani
Wakuu mu hali gani?
hali ya unywaji mwingi wa maji takribani lita 3-5 kwa siku na kuto kukojoa mara kwa mara au mara nyingi kwa mfano:-
MCHANA KUKOJOA MARA 2
USIKU KUKOJOA MARA 1
NA HAJA NDOGO INA RANGI NYEUPE KAMA MAJI JE HALI HIYO NI NZIRI AU SI NZURI KWA MTU MWENYE KISUKARI?
wakuu ninaomba ufafanuzikuhusu hili jambo hivi:
Hivi Watanzania wenye asili ya mataifa mengine kwa mfano WAHINDI,WAARABU,WASOMALI,WANGAZIJA,WABAAJUN n.k wanajazaje kipengele cha "KABILA LAKO"katika fomu ya kuomba kitambuliaho cha Taifa?
Na je kwa mfano ukajaza "Mhindi"je utatambuliwa kama raia...
Zimepita ndege angani mjini kwetu aina ni kama za kivita je ni mazoezi au kwakweli tulio ziona tumeshtushwa mno.kama ni mazoezi muwe mnatutangazia ili tusianguke kwa presha wenzenu
Habari zenu wakuu natumai kumekucha salama.
Jana nikiwa matembezi ya kawaida mida ya jioni nilikuwa nimetanguliwa na wanafunzi wa shule ya sekondari UMONGA iliyopo manispaaa ya Dodoma walikiwa wakisimuliana tukio la kupigwa mwalimu wao na mlezi wa mwanafunzi mwenzao ndani ya eneo la shule kwa...
Leo nikiwa katika gari ndogo ya rafiki yangu tukitoka shamba maeneo yakisasa mida ya saa 5.27 asb tulisimamishwa na na ubu huyo basi tumewekwa hapo kwa zaidi ya masaa 3 kisa triangle mbovu.baadaye tumeruhusiwa ila tukanunue nyingine mpya!
Habari wakuu nipo nje nimatazama angani upande wa magharibi nimeona ile nyota kubwa ana mng'ao mkali si wa kawaida pia ina kama muingiliano na nyota nyingine je wanasayansi hii ni hali gani kisayansi?
natanguliza shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.