Leo siku ya tatu rafiki yangu ananisumbua kutimiza ahadi niliyompa mtoto wake
Ipo hivi mapema mwaka huu, nilikutana na huyo mtoto sasa kwenye story za hapa na pale, akaniambia mwaka huu anaingia darasa la nne.
Kiroho safi nikamwambia akiwa kwenye top 10 aniambie kuna zawadi yake. Sasa juzi...
Messi anacheza Inter Miami, kwenye mechi ya leg 2 kati ya Miami na Nashville alikua anapata maumivu msuli wa paja.
Kocha wa Miami aliulizwa kama messi hali ya messi kuelekea mechi ya Jmosi hii, alijibu hali messi itatolewa na Nation Team (Argentina). Pamoja na hayo missi hayupo kwenye kikosi...
Deep down, kuna vitu vinakua overrated sana
Wengi huwa wanasema ni bora uamini yupo, uende ukute hayupo. Kuliko uamini hayupo, uende umkute
Ukiwa hauamini uwepo wake, ukaenda ukamkuta, nini jambo gani utalitumia kujitetea
Tokea Jan 1, simu yangu natumia saa 6 kwa siku. Mwaka jana nilikua natumia saa 5.
Mwaka huu nimeongeza saa 1 la kujipongeza kwa mafanikio ya mwaka jana
Mfano: Wewe umesajili kampuni yako Mauritania, ukitaka ufanye kazi Tanzania lazima isajiliwe brela. Ukifika brela unsema kampuni yangu ina operate kama subsidiary (kampuni mama ipo Mauritania) au kama tawi hapa TZ kwa lugha yepesi
Mauritius tax ni 15%, hapa kwetu ni 30%. Nikisajili kampuni Mauritania alafu nakuja ku operate hapa tanzania kama subsidiary TRA wakuja nawaambia mm nalipa kodi nchi nilipokua incorporated (ambapo wana kata 15%).
Japo TRA watakulazimisha ulipie gain 15% iliobaki lkn kukwepa kulipa hii...
Sio US au Europe tu, tax avoidance hata hapa kwetu ipo. Anglia kampuni ya TIGO juzi juzi hapa imeuzwa tena, hii kampuni kila baada ya miaka mi 5 utaskia umeuzwa kwa mmiliki mwingine. Kila mmiliki mpya ana omba tax holiday hadi 3-4yrs. Sisi tutafanyaje?? Sheria ina ruhusu
Honestly, Mm mwenyewe...
Aisee
Hii series nimekua recommended na moja ya jamaa yangu
Nimemaliza kuangalia pantheon S02 itoshe kusema ukiachana na mr robot hii animation series kutoka studios za amazon prime ni kali
Kiufupi hii series inaongelea UIs (Uploaded Intelligence) na CIs hii ni mbali zaidi ya AI...
Nimekuja mbio mbio, Nimejua labda ni tafiti za mambalo ya energy, nuclear power, NL kumbe bado tupo kwenye kubadilisha karatasi kua mbolea na mambo ta asali
Sio mbaya. Scientific research mara nyingi ni paper. Je umeandika paper kuhusi hizo tafiti?, Siku ukipotea na tafiti zako ninapotea au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.