Habari wana Jf
Ni muda mrefu nimekuwa nikiitafuta hii tamthilia ya Kichina iliyokuwa ikioneshwa TBC kwa lugha ya kiswahili lakini Sijafanikiwa kuipata.
Nimejaribu kugoogle kila aina ya context pia sijafanikiwa kuipata na kwa bahati mbaya hata sijui inaitwaje kwa lugha ya Kichina
Mtu yeyote...
Habari Jamii technology.
Kwa anaefahamu naomba anisaidie kuelewa ni nini-
Laptop yangu aina ya Acer Aspire window 8 imegoma kuwaka na imechemka sana, mara ya mwisho kuitumia ilikuwa ni jana usiku ambapo baada ya kumaliza kuitumia niliiweka kwenye charge na Ilipoonesha kuwa imejaa niliitoa na...
Hellooooo wana jf chitchat! andika any funniest quotes kutoka kwa watu maarufu duniani tofauti na tulivyozea kwamba wana quotes nyingi za kuelimisha, pia wanazo za kufurahisha, hebu andika unazozijua wewe
Baadhi ni kama-:
"Behind every great man is a woman rolling her eyes" -Jim Carey
"The...
Nimekuwa na wasiwasi kutokana na kutomwamini mpenzi nilie nae hivyo nahitaji kwenda kupima UKIMWI. Je ni hospitali ipi ambayo vipimo vyao ni vya uhakika na je huwa kuna gharama yoyote ile ya kupima ukimwi au huwa ni bure?
Habari wana Jf. Anaeelewa utaratibu wa pale UDSM kuhusu kujifunza lugha ya Kichina chini ya taasisi ya confucius anifahamishe, na hizo scholarship zao zinapatikana kwa vigezo vipi? Na ni za aina gani?
Threads za kutafuta wake zimekuwa nyingi sana siku hizi, wanaume wengi siku hizi wanadai wanawake ni pasua kichwa. La mwanamke sio pasua kichwa endapo utakuwa umempatia wa kwako na kujua jinsi ya kudili nae.
Mwanaume usitafute mke kama unabahatisha ili mradi na wewe uwe na mke usiwe kwamba...
Wakuu anaefahamu popote ambapo inaweza patikana dancing class kwa hapa Dar naomba aseme, sio dancing ya watoto ila ya watu wakubwa angalau kuanzia miaka 20
Nauza laptop aina ya Acer aspire,ina inch 14,inatumia 8.1 window,Intel celeron 2ghz,ina 2GB ram na 500GD HDD
Ni mpya iliyotumika wiki tatu tu,ni nyepesi kubebeka ina uzito mdogo hata kwenye mkoba wa kidada inabebeka tena bila kukuchosha.
Bei ni laki tano tu
Tuwasiliane wa hii namba 0767871819...
Nauza laptop aina ya Acer aspire yenye inch 14,inatumia 8.1 window,Intel celeron 2ghz,ina 2GB ram na 500GB HDD.
Ni mpya iliyotumika wiki tatu tu,ni portable nyepesi kubebeka inauzito mdogo hata kwenye mkoba wa kidada inabebeka tena bila kukuchosha
Bei ni laki tano tu.tuwasiliane kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.