Habari ya muda huu wapendwa. Naomba msaada kuhusu kufanya top up ya mkopo crdb. Huwa inaruhusiwa muda gani baada ya kupata mkopo wa kwanza?;msaada wenu please. Mimi ni mtumishi wa umma
hii portal naona kama ni magumashi matupu alafu ni ya kidwanzi! mtu wanamuandikia First Interview alaf baadae tena eanabadili status kuwa Application review in Progress...sasa which is which? Mi wamenikera kis....
Inshaallah Mkuu...thanks....
ila naona kama hawana umakini coz juzi nlivyocheki nikakuta status First Interview kwenye kazi zote nlizoapply...leo nacheki naona Application Review in Progress! au ndo kuchinjiwa ocean kwenyewe...
Mkuu hata mimi nimekuta zote nilizo apply nimeandikiwa First Interview ila nimecheki majina hakuna... mfano hawajaweka applicants wa Tanzania Tree Seed Agency....sasa sijui inakuaje? au watatoa baadaye tuendelee kusubiri mkuu wangu au tumuite kuku wa kienyeji atusaidie hapa...
Aisee! kumbe!!! basi majanga... nilivyoona maelezo ya kampuni kwamba wana cut across Africa na Asia nikafikiri watakua na mishahara mizuri kumbe hamna lolote
wakuu samahani naomba kuuliza kwenye kile kipengele cha profesional qualifications kama huna hizo CPA CIA ACA unajaza nini? au unaacha blank? na kwenye kuattach application letter inabidi ucheki kwanza tangazo uweke kutokana na tangazo au utaweka moja tu kama sample? bado naendelea kujaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.