yap Blackberry, yan hata mimi huwa nachukia sana hicho kitendo na nimefurah kuckia naww u r one of them, atleast inaonekana kua kweli ni tatizo.... unajua inaumiza sana unapomuandikia message ukijieleza the way u feel..jns unavyomkubali na kila kitu but unaishia kuambulia a short msg km vile " i...
Siku 1 Mr & Mrswalikuwa sebuleni, Mr akataka "kumsuprise" Mrs wake, akaenda chumbani na kuweka line mpya kwenye cm yake, then akampigia Mrs wake aliyemwacha sebuleni.............! HELLOW DARLING....! bila kujua ni Mr wake..wife akajibu KATA UPIGE BAADAE...hili LINGURUWE lipo ndani...
MC katika kumpamba Bi harusi akasema , "sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi. tangu mi namfaham huwa havai nguo za ndani." watu wakaduwaaaaaaaa...... Akasema "Narudia kwa mcisitizo na sijakosea. Bi harusi huyu havai kabisa nguo za ndani. Yeye ni za kutoka nje Italy,England na USA, hebu...
ANGALIZO!
A couple that has been married for 20 years were both recently diagnosed with diabetes.
Findings later showed that they both contracted the disease as a result of the names they called each other like; Honey pie, Sweetie, Sugar, Sweet heart, Sugar Banana, Sweet potato, Hot...
naombeni baraka zenu wana jamvi, mie ni mgeni katika uwanda huu.....
nkipata baraka zenu basi mie ntavua viatu na kujikung'uta mavumbi na kuingia rasmi then 2tashare ideas...
nowadays sio wadada tu wanaojichubua...also men do it cjui ndo kuwaiga wenzetu wa drc! but this issue is serious jamani kwan as inavoonesha kwenye takwimu kuwa kansa za ngozi zimezid kuongezeka na zinasababishwa na hz cream zetu......
jaman lets be serious black is beauty mi mwenyew ni black...
ilitakiwa waadhibiwe wote y mwanaume tuuuu! namuonea huruma huyo mmama aliyepanga na mume wa mwenzie wafanye fumanizi then kaadhibiwa mumewe tu.... imekula kwake ujue! kwan yupo mbioni kuitwa mjane kwa kujitakia kwan kila ki2 kilikua kwenye mpango ambao na yeye alishiriki! duh! kasheshe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.