ORODHA KAMILI YA VITI MAALUM UBUNGE NA UDIWANI KUTOLEWA BAADA YA USHIRIKI WA KAMPENI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ametoa msimamo wa Chama katika kuteua wabunge wa viti maalum, ambapo ameeleza kuwa, kwa upande wa Udiwani aliyeshinda kura za maoni ndio...
Habarini wanajamvi?.
Siku zote ziendazo kwa Mwenyezi Mungu mshahara hautakaa utosheleze hata kama ukiongezwa kiasi gani. Sababu zitakazo pelekea mshahara kutokutosheleza ni:-
1. Kukosa nidhamu ya matumizi. Kuwa na matumizi makubwa yanayozidi kiwango chako cha mshahara.
2. Kuendekeza anasa...
UVCCM wamemvaa Maalim Seif kutokana na Kauli yake alipokuwa ziarani Mkoa wa Mjini magharibi kudai kuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu anaunga mkono upinzani.
Ndipo kaimu katibu Mkuu wa UVCCM Shaka akalisemea kidogo suala la Maalim Seif,
"Maalim Seif amefukuzwa CCM mwaka 1987 kwa jaribio la...
Wanachama wa CCM mkoani Mwanza wanakusudia kufanya Maandamano ya Amani Aprili 26 mwaka huu kuunga Mkono na Kupongeza kazi kubwa inayofanywa na Rais Dkt John Pombe Magufuli hapa Tanzania [emoji1241].
Chanzo cha Taarifa Gazeti la Mtanzania leo Aprili 9.[emoji438]
UVCCM yashauriwa kumlinda kwa gharama yoyote Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk. John Pombe Magufuli ili aweze kutimiza na kufanikisha malengo ya taifa.
Pia Umoja huo umepongezwa kwa kazi inayofanywa na Viongozi wake kwa wakati huu ya kukabili upinzani bila woga na kujibu upoyoshaji unaofanywa na...
USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na vyombo vya habari.
Kuna mengi mazito anataka ayaweke wazi. Channel ya Sinema Zetu ndani ya Azam TV...
Wadau wa Uchumi na watunga sera watoa mapendekezo 10 kwa Tanzania yanayochagiza kuwa na uwezo mkubwa wa kushinda katika masoko ya kimataifa.
Source; #Mwananchi [emoji993][emoji1241]
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi utoaji wa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo.
.
.
Katika uzinduzi huo TRA imetoa Masharti manne kwa Wafanyabiashara wadogo na Machinga ili waweze kupatiwa vitambulisho hiyo.
Habari Wanajamvi?
Leo nataka kunena kidogo hili jambo.
Kama kuna mambo ambayo vyombo vya ulinzi na usalama vinahitaji kufuatilia kwa umakini na ukaribu ni porojo za Maalim Seif Sharif Hamad kudai ataapishwa na kuwa Rais mpya wa Zanzibar na Rais halali Dk Ali Mohamed Shein ataondoka madarakani...
Habari wanajamvi?
1. Inakuwaje mnasema ni suala la kitaifa lakini kujua afya yake ni siri na haki ya mgonjwa? Kama ni la Kitaifa basi Taifa lijulishwe hali yake pia ya kiafya ilivyo kiundani na sio kuliacha Taifa na maswali mengi.
Let's Pray 4 Him
2. Maombi ni kwa Lissu tu? Mbona hawakuhimiza...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amepiga marufuku Viongozi wa Serikali wasiokuwa na mashamba ya mikorosho kutojihusisha na biashara ya uuzaji wa zao hilo.
Ametoa agizo hilo hii jana wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa korosho uliofanyika mkoani Tanga, ambapo...
Habari wanajamvi?
Uhuru wetu wa kisiasa ni kazi bure pasina kuumiliki na kuudhibiti uhuru wetu wa kiuchumi
Mageuzi Makubwa ya Chama na Serikali
Tunapitia kipindi cha tofauti katika historia ya Taifa letu, kipindi ambacho naweza kukiita kipindi cha mpito, hiki ni kipindi ambacho tunatoka...
DHAMBI HIZI CHADEMA NA VIONGOZI WAKE ZITAWATAFUNA
Habari wanajamvi?
Leo nimepata wasaa wa kusikiliza zaidi ya mara 5 Mkutano wa Chadema na waandishi wa habari, Nimegundua mambo mengi kama yafuatayo;-
1. Chadema sasa hawana agenda za kimaendeleo bali wapo busy sana na matukio yanayotokea...
Habari Jamvini?,
Uchaguzi Mkuu wa Kenya [emoji1139] umefanyika siku ya Jumanne Agosti 8, 2017 ambapo kulikuwa na mchuano mkali kabisa kati ya Uhuru Kenyatta mgombea wa Jubilee na Raila Odinga mgombea wa NASA ambapo matokeo yanaonyesha Uhuru Kenyatta kumzidi Odinga kwa asilimia 10 ya matokeo...
Taarifa kutoka Jimbo la Misungwi- Mwanza mchana huu zinasema kuwa Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Misungwi, Ndugu Richard Budigila amejivua uongozi na uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM mbele ya Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Ndugu Rodrick Mpogolo.
Kwa hali wewe unayejiita...
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) umesema utakifufua na kukiendeleza Chuo cha Siasa, Uongozi na Ujasiriamali kilichopo Ihemi Mkoani Iringa kwa lengo la kuwapika, kuwafundisha na kuwaandaa kiujuzi na kisaikolojia vijana kwa kuwapatia stadi za maisha ili kujitegemea kiuchumi na...
Sikilizeni ninyi....
Waambieni hao wanaosema kuwa ccm ndo imetufikisha hapa, Enzi ya Mhe Mkapa mshauri wake Mkubwa alikuwa SUMAYE, na enzi ya Mhe Kikwete wakati Madudu yanaanza Mshauri wake Mkubwa alikuwa LOWASSA.
LOWASSA na SUMAYE wamechangia kutufikisha hapa tulipo na haya ndio matunda yao...
Leo tarehe 25/5/2017
MATUKIO MBALIMBALI YANAYOENDELEA VIJANA SOCIAL HALL
Katika Tukio la Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM)Taifa na Vijana wa Dar es salaam kumuunga mkono na kumpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
#UongoziThabiti
#TijaKwaUmma
#HongeraJPM
UVCCM IPO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.