Sisi hayo hatuyataki kuyajua kabisa tunataka kujua yeye Waziri anaisaidiaje nchi kuhusu suala la kupanda kwa mafuta anajua amesababisha upandaji wa Huduma mbalimbali nchini.
Ni Jaji wa Mahakama Kuu ambaye anaenda kufanya finishing ya kesi ya Mbowe na wenzie.
Hakika Nimefurahi sana nchi hii inaongozwa kwa sheria, haki na usawa.
Hongera kwa Chadema mmepewa chaguo lenu huyo sasa tusisikie kelele haki ikitendeka na kusimamiwa na Jaji Siyani.
Tumaini la Watanzania wote na vyama vyote vya siasa lipo kwa mama yetu kipenzi, mama wa Taifa la Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan [emoji3590][emoji91]
Wanawanyima haki yao wananchi katika maamuzi wamekuwa sio watetezi sahihi wa wananchi.
Naamini mwaka huu wananchi wanaenda kuwaweka pembeni kupata maendeleo.
2020 Wananchi wanaenda kuchagua maendeleo yanayosimamiwa na Chama cha Mapinduzi CCM
Weee Chagua CCM tunaenda kukamilisha hili jambo na tunaenda kupanda zaidi kiuchumi maana nguvu na nia tunazo zikisimamiwa na Chama cha Mapinduzi chini ya Jemedar Dkt Magufuli basi kila kitu kitakuwa sawaaa.
Tatizo kubwa la Membe ni kushinda mitandaoni na kufikiri Kigogo ananguvu na Watu wa maana nyuma yake kumbe anajidanganya jamani amepata aibu ya mwaka hapa hatamani na hana nguvu ya kupanda jukwaani kabisa.
mshauri wake wa karibu amwambia ajikaze tu sio kwa ubaya 😂
2020 tunarudi na MAGUFULI tena...
Watanzania gani au wale wa Belgium?
oktoba 28 tukamchague Mgombea wa CCM Dkt Magufuli aliyeweza kuunganisha Watanzania wote pamoja.
Hakika tuna kila sababu ya kumchagua tena MAGUFULI
ORODHA KAMILI YA VITI MAALUM UBUNGE NA UDIWANI KUTOLEWA BAADA YA USHIRIKI WA KAMPENI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ametoa msimamo wa Chama katika kuteua wabunge wa viti maalum, ambapo ameeleza kuwa, kwa upande wa Udiwani aliyeshinda kura za maoni ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.