Daah mmepoa sana humu..ligi ndo hizo zishaanza kurudi wadau..
Kwa wale mlio tayari karibu tujumuike katika group la WhatsApp la kubet. Watu hawalali kule
PuntersRepublic
Hoffenheim – RB Leipzig | Both Teams to Score @1.45
Goztepe – Trabzonspor | X2 @1.33
Valencia – Levante | 1 @1.73
Hoffenheim – RB Leipzig | Both teams to score @1.45
Lori – Alashkert | Home Over 0.5 @ 1.30
Dynamo Dresden – Hamburger SV | Most Scoring Half Second Half @1.96
Gorodeja –...
Asante kwa kunitia moyo mkuu, kiukweli nilikua nimevurugika..hata ule mda naandika hii thread nilikua nimekata tamaa kabisa.
Pesa ya biashara nataka sana na nitahangaika kuipata, kula nakula chakula kipo, hapana siyo ada..niliamua ku postpone masomo tangu mwaka jana kwa kukosa ada lakin...
Wakuu asanteni kwa kuchangia huu uzi, hakika mmenisaidia sana. Sasahivi akili yangu imetulia na nnaweza kufanya maamuzi sahihi, mbarikiwe sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Da'Vinci,Bless up bro, sometime nafikiria kwamba am too weak to fit in this World. Lakini nikimtazama mama kija wangu naona kabisa siwezi kumuacha peke yake I'll be a coward and dumb na huyo mtoto atakaezaliwa atanilaani sana hata kama hanioni.
Juzi nilimfata kwao nikiwa na lengo la kumwambia...
Na kama nikiweza basi I can make it through any year.
Sijui kama hili ni jukwaa sahihi, lakini nahisi ni hivyo.
Wakuu shida hazizoeleki, shida zinatweza utu wa mtu, yaani shida zinaweza kukufanya udharaulike mno.
Hapa nilipo nimechoka vibaya, zaidi nikifikiria yajayo nafumba na macho nisitake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.