Naandika mkasa huu nikiwa na huzuni nyingi. Kitu kilichonitokea mwenzenu katika kipindi cha miezi minane iliyopita, nisingependa kimtokee hata adui yangu mkubwa kuliko wote. Huenda kwa baadhi yenu, hiki chaweza kuwa kichekesho cha kuwavunja mbavu, na mkaona ni masikhara tu. Lakini Mwenyezi Mungu...
Hayawi hayawi ss yamekuwa, Serikali yatangaza kupandisha vyeo wafanyakazi wake, kuwaongeza mishahara, kuwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya mishahara wafanyakazi wake wote kuanzia januari mwaka 2017. *kupata vichekesho kama hivi Tuma neno VICHEKESHO KWENDA 15671*
Habari Zenu wanafamilia wenzangu wa J.F?natumaini muu wazima nimekuja mbele yenu maana siku zote mficha maradhi kifo humuumbua mimi ni Diploma graduate niliesomea fani ya Social Work na kuchaguliwa kuendelea na masomo yangu ya Degree in BBA kwenye chuo cha TIA ila nimeshindwa kuendelea na masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.