Kikubwa ni kuhakikisha dunia inakuwa salama, huyu Obama na Chama CHAKE cha Democratic nilikuwa nakiamini hapo awali kwa sasa Sina hamu nacho, msimamo wa Trumph kwa usalama wa dunia nimeupenda, Dunia Bila maelewano Kati ya USA na Russia ni Sawa na kuchezea gwala kwenye shimo la Choo
Kumbe Hali hii kila mahali, Kuna wilaya fulani huko mara, watalipwa tsh 15000 kwa siku, najiuliza hiyo ni amri ya mkulu mwenyewe au mkuu wa wizara ya ualimu, acha dhuluma
Hiki ni kituko cha mwaka, fbi, cia na vinginevyo vkkiwa vya ulinzi, hainiingii akili eti mmarekani kadikuliwa na Russians, eti wamejua baada ya trump dume kushinda, am sure Clinton angeshinda wasingepiga kelele, big up Russian
Kuna wakati tulipewa akili za aina moja, ikawa usiku ikawa asubuhi kumbe wengine walikosa kupewa akili wakapata akili zilizokwisha Muda wake, wekeza werevu katika elimu yako, Hao wasikupe pressure duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.