Asante mkuu KIBUYU,
Ila watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo ili twende mbele. Binafsi nawapongeza UDSM kwa kujaribu kwenda online kwa Postgraduate unlike other Universities/Institutes/Colleges. Ni jambo zuri kwani litawarahisishia hata wenzetu waliopo nje ya nchi kufanya application yao...
Mkuu, sina hakika sana na data ya mleta mada, lakini hata mimi juzi nilishangaa, umeme wa elfu thelathini.. nilikatwa kodi zao ikabaki elfu 24,000 na kwa kiasi hicho cha pesa nikaambulia unit 65. kwa maana unit moja ilikuwa zaidi ya 360 TSh.!!!
TANESCO nahisi kuna kajipu kwenye bei za umeme si bure!
Binafsi hapa naona Dr. Slaa naye katuchuuza, ghafla kageukia upande wa pili na kutaka kutuaminisha kwamba ubaya wooote wa CCM aliokuwa akitwambia na kutuaminisha ni Lowasa tu,
jama -hadi Escrow ya juzi,
- hadi twiga
- hadi sembe
- hadi tembo wetu
- vitalu vya gesi...
unapopotea ni pale unaposahau kwamba.. Utawala si wa mtu mmoja, kwa hiyo 'ccm ni ile ile' kwa maana watu wake, na mfumo wake... By theway magufuli si kwamba ni msafi, ila kwa vile amekaa na wachafu zaidi anaonekana walau... Ila kwa mwendo wa ile ile no please!
mabadiliko with no apology!
bora...
i guess you are missing a point here... Magufuli can be the best but what about 'ccm ni ileile'?
Now with this dude being 'ile ile' better lowasa outside ccm!
Hapo umenena vyema, hakuna mweye hatimiliki, na watanzania tuacheni tuamue wenyewe kila mtu kwa nafsi yake nani anaye mtaka, siyo kakikundi fulani kakae kupanga mikakati ya kung'ang'ania ikulu kama vile ni yao peke yao! eti ikulu hatuwapi? kwani yenu???
'LET THE TANZANIAN SPEAK FAIRLY...
Unaona sasa akili za Ki CCM namna hii ndo maana hatusogei kwani kigumu ni nini hapo?
Ukiondoa mishangingi inayo shinda inazurula eti na wakuu wa wilaya na mikoa tayali unasevu bilions za kufanya yote hayo.
Ukisimamia kodi kwa wezi wote wa raslimali zetu, gesi, madini, wanyamapoli... mihela...
Mkuu hapo umemaliza, yaani mtu waweza danganywa mara moja lakini ukidanganywa zaidi ya mara kumi kwa zaidi ya myaka 50 inabidi ukapimwe kabisa.
HALAFU BILA AIBU WANATWAMBIA WAZI WAZI CCM NI ILE ILE!!! yaani wamtuona Malofa haswaaa..
Mkuu umeamaliza, yaani ifike mahali tujue kwamba TANZANIA ni ya watanzania siyo ya CCM, dharau za kutwambia kwamba kura za rasimu ya katiba zisipo tosha zitatoshelezwa na ifike mwisho!
MABADILIKO WITH NO APOLOGY.....
Yawezekana hapo kwenye bold ukawa sahihi, kwahiyo unaamini kwamba uchafu wote wa CCM mpaka kutufikisha hapa tulipo, hadi kubaka katiba yetu ni LOWASA? Come on...
Ebu fungua ubongo wako kidogo ndipo utagundua kwamba bora Lowasa ambaye atakuja na katiba yetu iliyo bemendwa na CCM kuliko Magufuli...
Mkuu tupo pamoja, Ni kweli namuheshimu sana Dr Slaa, lakini uamuzi wake huu umejaa ubinafsi zaidi hasa kututosa watanzania katika mpambano mzima wa kurejesha katiba yetu, ambacho hasaaa ndo KIINI CHA UKAWA!
Pamoja na yoote, hakupaswa kutukimbia kipindi hiki! all in all we have to stand for our...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.