Ushauri kwa Halmashauri ya Mwanza, kwanini wasingejenga kwanza stendi iishe ndio wahamishe jamani.
Hivi mnaona hii kero iliyopo sasa? Vumbi, Usalama wakati wa usiku ni giza tu na mengine mengi tu.
Jamani angalieni hili swala tena
====
MAELEKEZO YA NAMNA YA KUFIKA ENEO LA STENDI MPYA YA...
be a man that they dont think you are, kama wanakutawala hawajaona uanaume wako. simama waeleze umefika mwisho wachape lapa, hata kwenye biblia yenyewe sijaona sehemu inasema wazazi nao watakuja xo hata walaani vipi waondoke tuuuuu, huo sio mji wao. tena 3 years kaka hongera umejitahidi mno.
jamani mm nina diploma ya computer engineering and networking, kwasasa nataka kusoma hizi professional studies za nje ya nchi. hasa kwenye masuala ya security, nahitaji msaada wenu jamani kwa ushauri
Jamani nimeskia kutoka kwenye kinywa baadhi ya wafanyakazi katika kiwanda cha A to Z arusha kuwa kuna binti kabakwa ndani ya kiwanda hicho na wahindi wanne hadi kufa, binti huyo hajulikani mahali mwili wake ulipo hadi sasa na hana hata miezi miwili hapo kiwandani. Mbunge wa arusha Lema nae...
kawaida hii Tanzania haijazoe wananchi wake wakipata ukweli wa mambo na waka react, haya sasa fungieni alafu mfungie na blogs kama mna huo uwezo.
ukweli utaskika tu, kama kuna uozo serekalini lifichwe la nini?
wakubwa chuo kipo arusha na mimi ni mwanafunzi hapo mwaka wa tatu and Accreditation status yake ni full. pia kiko very modern zaidi chini ya ufaransa na schnider electronics kwa wale wa automation. for more info contact me please
jamani wale wanopenda kuumiza kichwa, hivi kuchakachua hizi mazaga ya startimes nipate channel kwa bei nafuuu inawezekana kweli, nipenijibu kama inawezekana nianze kazi ya kuumiza kichwa.
:spy::spy:
jamani nina mdogo wangu wakike ambaye hivi majuzi tu kanieleza kuwa mwalimu wake wa somo la historia anamsumbua na kkumtaka kimapenzi, kwa kweli niliishiwa pumzi na hata kukosa jinsi ya kushughulikia hili swala. shida ni kwamba asasi gani au kitengo gani katka serekali naweza enda shtaki hili...
Cartoon Laws of Physics
Cartoon Law I
Any body suspended in space will remain in space until made aware of its situation.
Daffy Duck steps off a cliff, expecting further pastureland. He loiters in midair, soliloquizing flippantly, until he chances to look down. At this point, the...
Actual Science Tests Report...
These are reputedly real answers to questions on science tests.
When you smell an odorless gas, it is probably carbon monoxide.
Water is composed of two gins, oxygin and hydrogin. Oxygin is pure gin. Hydrogin is gin and water.
Nitrogen is not found in...
aha jamani do you think that you can get a nice wife in the net aise. kwanza hata pic yako huja weka hujui kma untaka wife hiyuo ni muhimiu ili akujue fiti. pia mi nafikiri yule wamahusiano ya ana kwa ana utapata kumjua fiti zaidi ya huyu wahuku
Je sasa hawa wanasiasa wanaosema kuwa hata maandamano ya amani ya Chadema yanaweza leta vagi kama hilo je ni kweli? au niupumbavu wa fikra zao zimekuwa transmitted through midomo yao kutoa output ya faida zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.