Search results

  1. tusionacho

    Tuache kulialia kosa ni la Mbowe kusitisha UKUTA

    UKUTA lilikua wazo zuri sana sababu lilikua ni suala la nchi nzima kupinga udikteta na hakuna mtu anaweza kuzuia maandamano ya nchi nzima labda yawe ya eneo moja. Faida za UKUTA -Kufikisha ujumbe kwa Dunia nzima toka kwenye shina nchi na Dunia nzima dhuluma zinazoendelea Tanzania -Kutekwa...
  2. tusionacho

    AIBU: CCM Iringa wasomba wanafunzi kumpongeza Rais

    Wiki nzima hii wamechoma mafuta kutangaza eti ombi la wananchi la kumpongeza Rais limekubaliwa na mkuu wa mkoa Amina Masenza. Hili tulijua ni mbinu chafu na hakuna watu waliotuma maombi kama hayo ila inafanyika hivyo zaidi kwenye halmashauri zinazoongozwa na UKAWA ili kuhadaa wananchi. Leo...
  3. tusionacho

    Mkulu kama kweli wataka kulinda rasimali za nchi tupe katiba mpya

    Rasimu ya pili ya katiba ya Warioba ilipendekeza ili kudhibiti uingiaji mikataba mibovu kabla ya kusaini mikataba inabidi ikajadiliwe bungeni, ili kuiponya nchi kwa muda mrefu hata usipokuwepo madarakani tupate katiba itakayobana mafisadi wezi na wala rushwa rudisha mchato tuanzie pale kwenye...
  4. tusionacho

    Energysex ndio inayofanya wanaume kuwa wahuni

    Hii inatokea pale mwanaume anafanya mapenzi mshindo mmoja tu na kufanya ile nguvu ya mapenzi kubaki mwilini, yaani ni hivi unakuta mwanaume katoka kufanya mapenzi lakini baada ya muda kupita kidogo anapata hamu kali zaidi kuliko awali mfano dereva anatoka dar anafika chalinze sababu ya uchovu...
  5. tusionacho

    Ester Bulaya kupambana na polisi kumsaidia Mnyika

    Ester Bulaya ni mpambanaji kuliko wapinzani wote kavutana na polisi mpaka nje wakati wabunge wote wa upinzani wakiwa wamezubaa uonezi huu wa spika kwa wapinzani haukubaliki na Bulaya kaonyesha kwa vitendo kama mama Tanzania mzalendo na aliyepinga ukandamizwaji wa wazi wazi wapinzani leo umoja...
  6. tusionacho

    Hivi kuna kundi linampenda huyu mtukufu?

    Huu utawala wa hapa Tanzania nani anafurahia Waandishi wa habari Wanafunzi chuo kikuu Wananchi wa kawaida Watumishi wa serikali Bunge Wasafirishaji Wafanyabiashara Watu wa utalii Mabenki Wafanyakazi wa bandari Mahakama Viongozi wa dini Wamiliki shule binafsi Wakulima Wafugaji Wazanzibar Wapenda...
Back
Top Bottom