Una wema gan kwenda zako huko tv yenyewe huna mpaka ukaangalie kwa jirani.
Ooohh hotuba hotuba unaakili kweli wewe?
Afu na wewe jipu na utatumbuliea tuu maana mafisadi hapendi kasi ambayo rais anaenda nayo.
Sasa mm nakwambia hvi nalenda sana kusikia sauti yake kila kukicha kwan ana yatumbua...
Yaan wewe wa ajabu kwel kweli kwann ulinunua bila kuwa na malengo sahh. Huko tunakuita kukurupuka sasa fanya hv niuzie 7m ukanunue bajaj inatosha kwa utaliii hahahahahahaha kweli mjin mipango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.