Hali zenu wapendwa [emoji2].
Nianze bismillah....
Nilijiunga jf miez michache tu iliyopita,nashkuru nimejifunza mengi kupitia jf,pia wapo waliojifunza kutoka kwangu japo ni machache.
nilijiunga kutokana na kutoa mawazo tu kwa mda(temporarly),nlitaka kujitoa mda kdg lkn nkavuta subra,lkn nahis...
Hali zenu.
Jukwaa hili katika thread hii ntakua napost urembo wa asili ambao natumia na naendelea kutumia na pia ukanisaidia,hope pia na nyinyi utawasaidia,na ningeomba mirejesho ili nijue maendeleo na imewasaidia kwa kiwango gani as how imenisaidia mm,i hope tutaungana mkono na kua kitu...
MAPENZI NI MATAMU ILA ACHA KIHEREHERE..
Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe sana. Jamaa mmoja alijikuta taabani mara baada ya kumkurupukia mpenzi wake.
Jamaa mmoja alikuwa na...
Kuvunjika moyo ni moja ya jambo zito na ambalo mtu hupitia na inahitaji sana moyo kwasababu ya kupitia wakati mgumu, fikra, mawazo, maumivu, kujiona huna thamani, jamani mtu kaamua kukuacha wa nini kumganda.
Let him or her go kama alivotaka, duniani hayuko pekeyake, mbona wamejaa kama yeye na...
Hali zenu,
Hivi unajua kua kila mwanamke anauwezo wa kuifanya ndoa yake idumu au ianguke, kuimarisha au kuidhoofisha. Sasa leo nataka nikupe experience ya mambo ambayo itasaidia kuijenga na kuongeza mapenzi katika ndoa yako na kwa wale watarajiwa wayajue haya. Nakuapia ukimfanyia mmeo haya...
Zifuatazo ni peel face mask ambazo zitasaidia kukisafisha uso kutoa blackheads usoni ,na mafutamafuta na uchafu wote,na kukuwacha na ngozi safi kabisaa.msishangae vyote hivo mm nmeshajaribu na vimenifaa ndo nmeviorodhesha hapa nanyi mjaribu huwezi jua pengine ndio itakua suluhisho ya tatizo lako...
Hali zenu wote wana JF.
Zifuatazo ni body scrub zitakazokutakatisha mwili,matumizi yake ni kila wiki mara moja.
[emoji254]UNGA WA KAHAWA NA MAFUTA YA NAZI.
vichanganye vyote ivo upate ujazo ambao uwe paste nzito,then uscrub mwili wote.
[emoji254]SUKARI,ASALI NA NDIMU AU LIMAU.
sukari vijiko...
Katika Kijiji cha Tombo, Kaunti ndogo ya Kakamega kaskazini, kuna mama mwenye upweke mwingi.
Bwanake alienda jijini Mombasa kutafuta riziki, hali ambayo imegeuka kuwa dhiki.
Bi Shikwekwe alibubujikwa na machozi alipokuwa akinihadithia jinsi bwanake alivyonaswa na kidosho wa Mombasa.
Baada ya...
Hii nmeifanyia utafiti mm mwenyew,miongoni mwa dawa zinazotumika kusukutua mdomo baada ya kupiga mswaki ikiwemo listerine,oral b na zinginezo,inajulikana kua faida yake ni kulinda fizi na kua imara ,kuondoa vijidudu na kuweka refreshment ktk mdomo.
...faida zimgine ni izi apaa..
----inasaidia...
Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýäñgù ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Me→nani mwenzangu...
Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. K. A dope girl
Boy:-Okay, nmekutumia 50,000 nimeona Jina tofauti ngoja nipige customer care
Dem:-no no baby usipige Ah ah Hapana baby mi naitwa Andongolile Mwakasakafyuka
ANGALIA HUU MCHEZO WA KUTUMA MESSAGE MARA ZIKATAE KWENDA MARA ZIKUBALI??????NETWORK MBOVU KAMA HII HAIJAWAHI KUKUTA?????
GARLFREND»»hellow sweetheart
BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)
GARLFREND»»kwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mda»??
BOYFREND»>najitahid kukujibu lakin mtandao...
Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)
Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke...
CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF...
Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini...
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?
JINSI YA KUMKALISHA MWANAUME WAKO HOME WEEKEND
Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa...
MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.