Search results

  1. Arabian queen

    Nitawamiss nyote

    Hali zenu wapendwa [emoji2]. Nianze bismillah.... Nilijiunga jf miez michache tu iliyopita,nashkuru nimejifunza mengi kupitia jf,pia wapo waliojifunza kutoka kwangu japo ni machache. nilijiunga kutokana na kutoa mawazo tu kwa mda(temporarly),nlitaka kujitoa mda kdg lkn nkavuta subra,lkn nahis...
  2. Arabian queen

    Njoo ujue urembo asilia na Arabian Queen

    Hali zenu. Jukwaa hili katika thread hii ntakua napost urembo wa asili ambao natumia na naendelea kutumia na pia ukanisaidia,hope pia na nyinyi utawasaidia,na ningeomba mirejesho ili nijue maendeleo na imewasaidia kwa kiwango gani as how imenisaidia mm,i hope tutaungana mkono na kua kitu...
  3. Arabian queen

    STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

    MAPENZI NI MATAMU ILA ACHA KIHEREHERE.. Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe sana. Jamaa mmoja alijikuta taabani mara baada ya kumkurupukia mpenzi wake. Jamaa mmoja alikuwa na...
  4. Arabian queen

    Never give up kwa waliowahi kuumizwa katika mapenzi, yajue haya...

    Kuvunjika moyo ni moja ya jambo zito na ambalo mtu hupitia na inahitaji sana moyo kwasababu ya kupitia wakati mgumu, fikra, mawazo, maumivu, kujiona huna thamani, jamani mtu kaamua kukuacha wa nini kumganda. Let him or her go kama alivotaka, duniani hayuko pekeyake, mbona wamejaa kama yeye na...
  5. Arabian queen

    Kila mwanamke ayajue haya akiwa ndani ya ndoa

    Hali zenu, Hivi unajua kua kila mwanamke anauwezo wa kuifanya ndoa yake idumu au ianguke, kuimarisha au kuidhoofisha. Sasa leo nataka nikupe experience ya mambo ambayo itasaidia kuijenga na kuongeza mapenzi katika ndoa yako na kwa wale watarajiwa wayajue haya. Nakuapia ukimfanyia mmeo haya...
  6. Arabian queen

    Tengeneza wewe mwenyewe peel face mask nyumbani

    Zifuatazo ni peel face mask ambazo zitasaidia kukisafisha uso kutoa blackheads usoni ,na mafutamafuta na uchafu wote,na kukuwacha na ngozi safi kabisaa.msishangae vyote hivo mm nmeshajaribu na vimenifaa ndo nmeviorodhesha hapa nanyi mjaribu huwezi jua pengine ndio itakua suluhisho ya tatizo lako...
  7. Arabian queen

    Tengeneza body scrub nyumbani kwako

    Hali zenu wote wana JF. Zifuatazo ni body scrub zitakazokutakatisha mwili,matumizi yake ni kila wiki mara moja. [emoji254]UNGA WA KAHAWA NA MAFUTA YA NAZI. vichanganye vyote ivo upate ujazo ambao uwe paste nzito,then uscrub mwili wote. [emoji254]SUKARI,ASALI NA NDIMU AU LIMAU. sukari vijiko...
  8. Arabian queen

    Kwanini wanaume wa bara wanapenda vidosho wa Pwani?

    Katika Kijiji cha Tombo, Kaunti ndogo ya Kakamega kaskazini, kuna mama mwenye upweke mwingi. Bwanake alienda jijini Mombasa kutafuta riziki, hali ambayo imegeuka kuwa dhiki. Bi Shikwekwe alibubujikwa na machozi alipokuwa akinihadithia jinsi bwanake alivyonaswa na kidosho wa Mombasa. Baada ya...
  9. Arabian queen

    Jf naomba mnitag waandishi wa simulizi

    Simulizi na watunzi,mana nmejitahid kutafuta bado sijaona,anaejua anifahamishe:(
  10. Arabian queen

    Je unajua kua listerine inatumika katika matumizi mengi?soma hapa

    Hii nmeifanyia utafiti mm mwenyew,miongoni mwa dawa zinazotumika kusukutua mdomo baada ya kupiga mswaki ikiwemo listerine,oral b na zinginezo,inajulikana kua faida yake ni kulinda fizi na kua imara ,kuondoa vijidudu na kuweka refreshment ktk mdomo. ...faida zimgine ni izi apaa.. ----inasaidia...
  11. Arabian queen

    Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

    Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýäñgù ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Me→nani mwenzangu...
  12. Arabian queen

    Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

    Boy:- hallow Dem:- hellow Boy:- ivi jina lako nani vile Dem:- am miss precious A. K. A dope girl Boy:-Okay, nmekutumia 50,000 nimeona Jina tofauti ngoja nipige customer care Dem:-no no baby usipige Ah ah Hapana baby mi naitwa Andongolile Mwakasakafyuka
  13. Arabian queen

    Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

    ANGALIA HUU MCHEZO WA KUTUMA MESSAGE MARA ZIKATAE KWENDA MARA ZIKUBALI??????NETWORK MBOVU KAMA HII HAIJAWAHI KUKUTA????? GARLFREND»»hellow sweetheart BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED) GARLFREND»»kwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mda»?? BOYFREND»>najitahid kukujibu lakin mtandao...
  14. Arabian queen

    Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

    Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa. 1. NDOA YA MKEKA Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana! 2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE) Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati mume18 mke...
  15. Arabian queen

    Cheki hawa wachungaji

    CHEKA KIDOGO Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF...
  16. Arabian queen

    Huyu mama kazidi sasa

    Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini...
  17. Arabian queen

    Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

    Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?
  18. Arabian queen

    Huyu bibi kazidi sasa

    Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu, Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka, Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu, Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka, Kibaka _"Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua"_, Bibi kajibu _"Bado Mtama"_bibi ujinga hapendagi"
  19. Arabian queen

    Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

    JINSI YA KUMKALISHA MWANAUME WAKO HOME WEEKEND Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti. Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni Hivyo wanandoa...
  20. Arabian queen

    Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

    MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike? MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala MKE: Na lipstiki kwenye shati? MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali? MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi...
Back
Top Bottom