Kuna huyu mbunge wao anataka tuwe na passport tukitaka kuingia Zanzibar ila wao huku waje free ππππππππmuungano wa kis**ge sana.
Kwa sababu sukari inalundikana ndani ya damu kupitia kiasi kwa hiyo ile mishipa ya damu diameter yake inakuwa ndogo (narrowing of blood vessels) ,pia inapelekea mishipa ya damu kukakamaa hivyo inashindwa kusinyaa na kutanuka.
Uharibifu huu wa mishipa ya damu unatokea mwili mzima kwa hiyo kuna...
Hakuna mzazi anayependa mwanae aolewe na fukara .
Mzazi kamtunza mwanaye mpaka alipofikia sasa ili akukabidhi lazima ahakikishe wewe ni mtu sahihi kwake na unaweza kumudu mahitaji yake.
Tabata wanapenda sana kujilinganisha na sinza sijui kwa nini.
Haitakaa itokee tabata ikawa juu kuliko sinza.
Sinza 24/7 usafiri ni uhakika ila tabata sasa pako ziiiiiiiiiiiiiiii.
Cha kuongezea ni kwamba ukiona dalili za kisukari mfano kusikia kiu mara kwa mara, kusikia njaa, kusikia mkojo na hali ya kupoteza uzito na kuchoka choka , ni heri uende kutafuta tiba mapema.
Kisukari kikikomaa madhara yake ni makubwa mno ikiwemo kuwa hanithi na upofu.
Lymph nodes hizo zime enlarge .
Lymph nodes ziki enlarge ina maanisha umepata maambukizi ila sio lazima iwe H.I.V. Inaweza ikawa magonjwa mengine mfano gonorrhoea.
Moja ya dalili za ukimwi stage ya kwanza ni generelarized lymph adenopathy (kuvimba kwa hizo lymph nodes)
Wahi hospitali haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.