Juzi kati nilimjaribu dada mmoja tukaelewana vizuri hadi nikaelekezwa getoni lkn kabla sijaanza safari nikaombwa elfu 50 nilipomwambia hadi nifike tuonane,mkuu nilishushiwa matusi kama kontena 26 zile za bandarini hadi nikachukia yani sina hamu na wanawake wa badoo hawana heshima hata kidogo.
Hakuna mwanamke wa badoo ambaye haombi hela yani ukimpa hata salamu tu jibu ni kwamba tuma pesa kwanza ndo ujibiwe sasa ninashindwa kuelewa ni mtandao wa biashara au?
Huyu anachanganya mada.Tueleze wanaofanya ujambazi ni wahamiaji haramu?Na kwanini husitoe taarifa ktk chombo husika?Na unauhakika gani kama ukaguzi ni lege lege ktk maeneo ya mipaka yetu?Mfano ukitokea namanga gari zinakaguliwa na maafsa wa uhamiaji,ukifika longido kuna ukaguzi ukikaribia Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.