Kwa waliopangwa vituo vya kazi kutoka Utumishi kwenda TANESCO utaratibu upoje maana mdogo wangu kaenda ku-report lakini amerudishwa ameambiwa mikataba yao bado haijafika vituo vyao vya kazi.
Hili lipoje wakuu? Kwa anajua aje hapa tushauriane tuweze kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Napenda kujua ni nini tofauti ya Chuo cha afya kilichosajiliwa kwa jina la
Nursing school
au kwa jina la
school of nursing
Na MTU akituma maombi NACTE. akajikuta kachaguliwa Chuo Fulani. Je huyu MTU atakua kachaguliwa na uongozi Wa Chuo husika ama amechaguliwa na watu Wa NACTE??? Au huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.