Mkuu, jamaa wana style zao kudadeki. Wanahakikisha mpk unakata roho ukiwa umechoka sn aisee, hata Sir God akikuuliza maswali baada ya kukata roho, unajibu kiboya boya tu, unatupwa motoni. Akili yko inakuwa imeshachoka kbs. Hujielew
Sina wallet. Niliwah kupoteza vitambulisho, kadi, leseni, kwa mara moja, nikaachana na matumiz ya wallet. Hiyo ynyw nililetewa surprise na kabinti kamoja hv.
Daaah, mkuu hata hujajua jamaa yuko wapi, na kama banda linabebeka au halibebeki, ila wewe unataka banda...!!!!
Mshauri tu jinsi ww utakavyokabiliana na changamoto, aelewe na aendelee na biashara ili mwenzako nae ATOBOE.
Acheni story nyingi, SISI TUNAJALI. Sio nyie mkiombwa hata hela ya vocha mnatuma buku jelo ajiunge kifurushi cha chuo. Ila tuache utani, sub zinatupa raha sana. Zinajua sn kubadilisha mchezo. Zinatupa kile tunachotaka, na zinatupa mpk nyongeza. Ni sawa dukan ukute muuzaji anasubir mzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.