hujaelewa kinacho ongelewa hapa,wala usihangaike kuelewa sababu najua hauna saikiki yoyote. nakutakia kila laheri na imani zako hata kama ni zakusubiri bwana arudi kukukomboa,ingawa mie naamini we a strong pasipo kutegemea shetan, na chocho kile kilicho tuumba am sure kilituumba katika...
jaribu labda kufuga nywele hata kama ni mwanaume,maana nywele huwa ni kama receiver and transimiter. ndio maana scorpio wana psychik kubwa sababu huwa mili yao in vinyweleo vingi.
Mama yangu amakuwa na kesi na serikali takribani miaka thelathin na hatimaye ameshinda kesi lakini bado malipo yake hayajafanyika bali anazungushwa kila kukicha.umuri wake sasa ni miaka sitini na kitu ana presha, ana kisukari , ana madeni ana wanao mtegemea. Sasa anasikia kwamba kikwete...
You have any relationship problems love, friendship,business, and if u have two or three sweeters and you not sure of who is the best one for you.
Ok contact love and relationship consultant right now 0764590855 for free if there is any necesary charges you will be notified.
God created the world in seven days ,It has been almost 25yrs now since i was brought to life by my sweet sugar mother.I`m always fascinated by the hidden mysteries of life and the purpose of life itself.
WHO AM I.
Well, you can call me john. am about 168cm tall,55kg weight and am having this...
Mie Huwa ninafanya Shughuli zangu mjini usiku nakurudi nyumbani kwangu mapema sana alfajiri , kwakuwa nikitoka kazini nataka niweke kitu tumboni na kisha nimpumzike kwa uchovu wakazi. kuna mgahawa umefunguliwa maeneo ya tungi msikitini njia panda ya kwenda kisiwani. chai yao inakuwepo tokea saa...
teh teh , lizy nimesema kuwa 1st we date & date then if we both agree that our chemistry much then we marry. i wonder when u will be ready 4 our 1st date?
Ndiyo hivyo mkubwa.halafu ukikatibia dalajani utaiona Hiyo Hotel ya DENFRANCE.na hii ndio webcyte ya Hotel husika DENFRANCE Hotel - Dar es Salaam, Tanzania ingawa hakuna phots za club lakina nagfanya utaratibu wa kuzichukua na kuzi upload.
Wana janvi natumaini wote hamjambo, napenda kuwataarifu kwamba kila siku ya Alhamisi bendi ya wazee sugu ikiongozwa na mzee king kiki wa kutambaa cheupe watakuwa wanatimua vumbi ndani ya kiwanja kipya na chakisasa kilichoko sinza kabla ya kufika darajani ukiwa unatokea kijiweni.ndani ya...
Nakushukura sana kwa support yako na hivikaribuni ninafanya mpango wa ku upload photos. Bila kusahau kwamba kila siku ya Alhamisi tunakuwa na wazee sugu wakiongozwa na mzee king kiki wa kitambaa cheupe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.