Niliwahi kufuga samaki enzi za utoton, samaki kama tambala wenye mikia mirefu, kisoda, mkasi, kimwezi n.k
Navutiwa sana na ufugaji samaki huu wa sasa ivi. Ni wa kisasa na wenye faida kubwa nadhani vijana turudie zile enzi zetu za kufuga samaki, njiwa ( kuku) n.k mana tulishawahi kufuga enzi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.