Kwasababu kama umejiuliza Alien ni kitu gani, Uhai ni nini, mazingira gani ya razima ili uhai uwepo na kivipi tunaweza hakikisha kama alien wapo. Basi huwezi kukubalina na huu uzi na wasio kubaliana nawe naona wanapingwa, nimeona mmoja hapo juu...
Kabla ya kusoma / kuandika kuhusu Aliens ningewashauri watu wajiulize maswali haya
What is Alien...?
What is life....?
What is interagency..?
What's are necessary conditions for life to exist....?
Which are credible source to study about Aliens...?
Otherwise tutalishana...
"Terrorism is beeng repedly sayed it's TACTICS not IDEOLOGY, and declaring WAR on tactics makes absolutely NONSENSE "-Oliver Stone
Kipindi cha utawala wa George w Bush watu walimsisitizia sana hili lakini hakusikia na Obama hakusikia Trump analielewa hili ila anafeli jinsi ya kufight hiyo...
So hoja ni nini..?
Tekinolojia ya jeshi..?
Nguvu ya jeshi..?
Uchumi wa urusi..?
Influence kwenye siasa za kimataifa..?
Kwa sababu hayo yote Putin ameyaimprove ten times better kuliko alivyo yakuta..,
Kama unataka kulinganisha na marekani ulinganishe kwenye specific aspects... Ukitaka kwenda...
Mnao sema uchumi wa sasa wa russia ni mbovu fanyeni research vizuri miaka kumi na sita kabla ya Putin na miaka kumi na sita ya utawala wa Putin, ki jeshi Urusi na marekani huwezi kusema directly nani anamzidi technology mwenzeka coz hilo hutegemea military doctrine na foreign policies na...
Kwakifupi Putin ni mtu wa kushangaza sana anatabia ya kutokea at right time in right place.
Wakati Putin mdogo alikulia kwenye mtaa uliokua na wahuni wengi na makundi ya Gangs huko st.Petersburg lutokana na umbile la Putin kua dogo kulinganisha na watoto wenye umrisawa na yeye alimua kujifunza...
Mystical stories, no credible source imeconfirm uwepo wa Ellien.
By the way according to space expertise definition ya ellien ni kitu chochote chenye uhai kilichopo nje ya dunia ( ambacho kijatoka duniani). Kiwe mmea,mnyama, bacteria nk...na co lazima kiwe na intelligence!!
"The key principal in our education system; All children are gifted and can succeed. when they they are successful, russia is successful too" -Vladimir Putin
Nakuelewa mkuu, but sometimes nahisi tunajibana sana kutaka kuleta something completely new wakati vilivyopo bado sio perfect sana, i still believe the room is their...,
Ilipokuja Facebook ckutegemea kama tweeter ingefanikiwa but ikaja na whatsapp, instagram and snapchart na zote zinafanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.