Aiseh! Kwel dunia uwanja wa fujo! Zaman ukiagiza castle light,safar, na serengeti unaonekana masikin! Henken ilikuwa bia ya midle level@ now balimi imekuwa almasi!
Balimi mkomboz wa wanyonge
Mkuu unakosea mi huwa namwita geto nachokifanya ni kununua viitu mfano samaki kilo 5,mguu wa mbuzi, mazagazaka nalipia na dstv pamoja na grand malt 3 napiga mzigo napikiwa,nafuliwa, na usafi juu siku ya kuondoka nampa buku ten! Nakuwaa nimesevu gharama kubwa sana! Kamwe siwez kumpeka demu guest...
Hapo ndipo wanawake mnapokuwa mazembe badala umuombe mwanaume walau ela ya kuanza kibiashara kama genge au mkaa ili uwe na sustainability income unaishia kuhongwa hongwa its prit dangerous huo ni umalaya uliopitiliza tupo kwenye mchakato wa kwenda uchum wa kati na viwanda mambo ya kusuka na make...
Mkuu suala la kuuliza biashara kwa wenye uzoefu kwa uzoefu wangu wabongo huwa tunatabia ya kukatishana tamaa! Kwa ushauri wangu ukiwa likizo its right Time ti do! Lastly biashara usiwekeze kubwa anza na juisi utafanikiwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.