Wasumbue mara kwa mara chuoni wapeleke matokeo Nacte kwenye kansa husika. Mpigie msajili hapo chuoni ikibidi uende kama ni karibu, mpigie na mkurugenzi yaani we piga simu hadi yapelekwe.
Unamaanisha nianze upya kulogin au.?
Kwasababu nimejaribu ila imekataliwa hii ni kutokana na username na password wanakutumia wenyewe kwenye email na unakuwa unaitumia hiyo tu.
Nimeishaenda mara kadhaa lakini sikupata ufumbuzi.
Mara ya mwisho mdada aliniambia control number zinasumbua niwe na subira.
Inaonekana hawajui namna ya kusolve hili tatizo, sina imani nao kabisa.
Wakuu naombeni msaada.
Zaidi ya mwezi nafuatilia AVN lakini hakuna mabadiliko, lila nikirequest naambiwa bill generated waiting for control number.
Nimeishazunguka sana pale NACTE ila hakuna ufumbuzi wa tatizo. Hadi watu wa GePG nimewapigia Nawao wanasema hii ni kwao NACTE wala wao hawahusiki...
Sio kweli.
Wengine vikombe vimevunjwa na waume halali wa ndoa lakini ndoa hazikudumu na wameishasahaulika utafikiri sio waliovunja vikombe.
Unaweza usimtoe msichana bikra na bado asikusahau na ukamtoa lakini akakuchukulia like you never exist.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.