Search results

  1. Utivu

    Huu ndiyo muonekano wa soko jipya la Kariakoo

    Kongole kwa mheshimiwa Raisi kwa kuendelea kutunza kumbukumbu na heshima ya msanifu majengo wa kwanza mzawa, marehemu Beda Jonathan Amuli.
  2. Utivu

    Biashara ya Night Club Dar imekufa?

    Nimenyongonyea mno..!
  3. Utivu

    Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

    YOU' RE A WASTE AND A WASTE OF TIME.
  4. Utivu

    Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

    Elezea kwa hoja huo uongo uliotukuka! Nyie ndio walewale mnatuharibia vijana mtaani.
  5. Utivu

    Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

    Binafsi na kwamifano niliyoiona, bangi ni tatizo kubwa, na kweli inaleta shida hasa kwa vijana wengi walio kwenye makundi tofautitofauti, ukichaa au kurukwa na akili uwezekano wake kutokea ni mkubwa sana, tofauti na jinsi watumiaji wanavyojaribu kuipamba na kuitetea! Hayo ma-skank huchelewi...
  6. Utivu

    Kisa cha mpangaji mjaluo aliyewageuka wenye nyumba alizopanga na kuzichukua yeye mahakamani

    Ugaigai kwenye nyumba za watu wengi huishia vibaya, ujasiri wa kumzulumu mtu mali yake unapata wapi, tamaa za namna hiyo zinapeleke mauti au kuharibu mwelekeo wa mtu kwa kiasi kikubwa sana, mara nyingi wenye deficiency ya elimu dunia ndiyo huwa na ujasiri wa kufanya hayo!
  7. Utivu

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Kiasi ya maneno ni muhimu sana kwenye maisha.
  8. Utivu

    Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

    Hali ya hewa ya Dodoma peke yake ni kichapo, mtu unapauka kama mdudu sometimes! Waliojiwekeza Dar toka mkoloni hawakukosea, sema ndio hivyo tena, kunavigezo waliona (kimtazamo wangu lakini), ndiyo maana mji huu umeendelea kdg. Dar ukidondoka tu, wiki mbili nyingi, unatakata!
  9. Utivu

    Rais Kagame kanifurahisha na points zake

    Muzungu kijasho kimemtoka, hakutegemea criticism ya namna hiyo! Kwa kifupi kaongezea elimu ambayo hakuizingatia kabla! Sema dingii kachafukwa, jeuri kwerikweri, hoja za kiwestern zimemkera kana kwama anataka kutapika the forced presented rubish!😁
  10. Utivu

    Mabinti wamekuja tena na style mpya ya kupiga picha

    Aisee, huo uwazi si wanchi hii, ehh!
  11. Utivu

    Mpangaji anahesabika ni mvamizi mara tu kodi yake inapoisha

    Kwa maelezo haya, je unaweza kumfungulia mashitaka kwa kosa la criminal tresspass mpangaji aliyepitiliza muda wake baada ya notice ya kusitishwa upangishwaji wake kutolewa na yeye kukaidi kuondoka kwa wakati (kuendelea kukaa kwa mabavu) kituo cha polisi?
  12. Utivu

    Kwanini wanaume tunafurahi maanguko ya wanaume wenzetu?

    Wengi ni umbea na kupaisha matajiri uchwara wenye vibebi-worker huku wakisubiri anguko zao kwa hamu wawachafue, pia madalali wanaeneza sana umbea maeneo hayo, kutwa vijiweni kuchunguza maisha ya watu na kutengeneza maneno chonganishi! Kwa kifupi kuna mfumo fulani wa ajabu ajabu wa vijana wengi...
  13. Utivu

    Kwanini wanaume tunafurahi maanguko ya wanaume wenzetu?

    Tabia za watu wa Sinza katika uhalisia wake, hasa vijana waishio eneo hilo kwa ujumla.
  14. Utivu

    Hizi ndio biashara 17 zitakazofanya utoboe haraka maisha

    Marekebisho hapo kwenye English media! Ni English Medium mkuu.
  15. Utivu

    SHOPPING SERVICES: Nanunua, nafunga na kusafirisha bidhaa kutoka Kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani

    Tv ya inch 65 tokaka KKoo mpaka Mbezi Mwisho (Morogoro road) unacharge ngapi mkuu?
  16. Utivu

    Kijana aliyejikata uume hataweza tena kujamiiana

    Afya ya akili ni jambo la kuwekewa mkazo sana kwenye jamii zetu, huyu alikuwa na dalili zote za tatizo la Schizophrenia, sema kibongobongo anasema alisikia sauti kutoka juu, hiyo wanaita auditory hallucination, sauti mbaya za kuamrishwa anazikia mgonjwa ndani yake, kiasi cha kupelekea yeye...
  17. Utivu

    Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

    What a Region with bunch of savages!
  18. Utivu

    Msaada;Maumivu ya kichwa mara kwa mara

    Jaribu kuchunguzwa kuindani zaidi, inaweza ikawa ni aina fulani ya uvimbe katika eneo la kichwa unapohisi maumivu.
Back
Top Bottom