Search results

  1. Cesar Saint

    Cheating is a process

    SEHEMU YA KWANZA Declaration of Interest Andiko hili lina msingi wa kiimani (Ukristo) lakini pia lugha zilizotumika ni kiingereza na kiswahili ili kuwasilisha ujumbe uliokusudiwa. Binadamu ameumbwa katika sehemu mbili nazo ni mwili (flesh) na nafsi/roho (Spirit) hivyo basi muunganiko wa...
  2. Cesar Saint

    Baadhi ya desturi za kitanzania tunazopaswa kubadili au kuachana nazo!

    Habari Great Thinkers .... Katika jamii zetu za kiafrika kumekuwa na mambo(desturi) kadha wa kadha ambazo kwa namna moja au nyingine zimekuwa zikitudumaza ama kutuchelewesha kwenye maendeleo katika nyanja ya kifamilia na jamii kwa ujumla . Leo ningependa kuongelea desturi moja ambayo hurudisha...
  3. Cesar Saint

    Uhaba wa ajira Serikalini

    Umewahi kufikiri inawezekanaje nchi kubwa kama Tanzania kuwe na upungufu wa ajira tena sio tu kwenye sekta binafsi bali hali ni mbaya zaidi Serikalini . Kumekuwa na mazoea kuifanya hali hii kuwa ya kawaida kiasi kwamba kwa vijana wanaoingia vyuoni kuambiwa wanatakiwa kusoma vitu watakavyoweza...
  4. Cesar Saint

    Dhambi kubwa ya Serikali ya awamu ya tano

    Wasalaam ; Awali ya yote nitumie fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu muweza wa yote yeye atoae Riziki. Sehemu kubwa ya RIZIKI zetu wanadamu hupatikana kwenye mazingira yetu ya kazi za kila siku ambayo kwa lugha nyepesi huitwa AJIRA .Mwanadamu anaweza kupata riziki yake kwa kujiajiri au kwa...
  5. Cesar Saint

    Utandawazi, Udini na Ukabila ndio sumu za mahusiano

    Wasalaam wanaJF Bila kuchelewa niende kwenye mada moja kwa moja! Miongoni mwa tatizo kubwa linalokumba vijana wengi kwenye miaka ya karibuni ni kukosa mahusiano yenye mantiki nikiwa na maana ya kuwa mahusiano yanayokuwa na dhumuni au lengo la mahala yanakoelekea. Kuna msemo mmoja wa...
  6. Cesar Saint

    Uchaguzi 2020 Hivi Vyama vya Upinzani Tanzania viko serious na kuongoza Serikali?

    Wasalaam wanaJF, Kwa bahati nzuri nimefanikiwa kufuatilia mchakato wa kutafuta wagombea/wawakilishi wa nafasi mbalimbali kwenye vyama mbalimbali kwaajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020. Kiukweli na uwazi ni dhahiri kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM)...
  7. Cesar Saint

    Rais Mkapa ndiye aliyestahili kuongezewa muda wa Urais

    Wasalaam wanaJF, Tokea taifa letu kuondokewa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Ndugu Benjamin William Mkapa siku ya July 24,2020 nimechukua muda na kutafakari maisha ya kiongozi wetu huyu kwa sehemu ya nilivyomfahamu na kusikia kuhusu yeye. Kwanza nikiri kuwa mara ya kwanza kumwona kiongozi...
  8. Cesar Saint

    Ushahidi kwa NIDA kuhusu suala la vitambulisho vya taifa

    Wasalaam, Ikiwa kesho ndio tamati ya nyongeza ya muda wa Wananchi kujisajisili simcard zao kwa mfumo mpya unaohitaji namba ya vitambulisho vya taifa (NIDA) inategemewa kuwepo kwa kundi kubwa la watu watakao athiriwa na zoezi hili. Zoezi hili linausisha taasisi mbili za Serikali NIDA na TCRA...
  9. Cesar Saint

    Vituko vya Suleiman “Mbwembwe”

    Wasalaam; Kipindi cha utawala wa bendi Tanzania alikuwapo kijana machachari kutokea Tanga aliyeanza usanii akiwa kama mcheza show katika kumbi mbalimbali za starehe aliyejulikana kwa jina la Suleiman. Mzee Karenga mwenye gitaa na Mbwembwe kwenye Mic Mbwembwe,Shabaan Dede na Nasir lubuva...
  10. Cesar Saint

    Dakika tano na Rais John Pombe Joseph Magufuli

    Wasalaam, Awali ya yote ningependa kutanguliza salamu kwako Mheshimiwa Raisi na kukutakia heri ya mwaka mpya 2020. Mheshimiwa Raisi siwezi kusema nafahamu ugumu wa dhamana uliyobeba kutuongoza Watanzania tukiwa kama taifa lenye mchanganyiko wa mamilioni ya watu wenye mtazamo na malengo...
  11. Cesar Saint

    Maajabu ya fundi wa mpira, Said Mwamba Kizota

    Leo nikiwa maeneo fulani nikiwa nafuatilia mchezo wa CHAN kati ya Tanzania na Sudan nikawa napata story fupi ya mpira yenye kusisimua kuhusu mchezaji wa zamani wa Yanga marehemu mzee SAID NASSOR MWAMBA KIZOTA . Unaambiwa ilikuwa mwaka 1993 ndio mwaka ambao fundi huyu aliwapa burudani...
  12. Cesar Saint

    Demokrasia ya vyama vingi ni ukoloni

    Wasalaam; Ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya demokrasia duniani niwashirikishe haya machache niliyofikiri kwa mtazamo wangu. Mosi naomba nifafanue maana ya demokrasia kwa uelewa wangu Demokrasia ni mfumo unaoundwa na kukubaliwa na jamii fulani kama njia sahihi ya kujiongoza,kujisimamia na...
  13. Cesar Saint

    Abunuasi wa Zambia

    Wasalaam; Jamaa alifahamika kwa jina la Edward Makuka Nkoloso alipata kuwa Colonel wa jeshi mwalimu na mwanaharakati nchini Zambia Kubwa zaidi alikuwa National director of the science academy nchini Zambia wakati inapata uhuru mwaka 1964 na alikuwa na mpango wa kuwatupilia mbali USA na...
  14. Cesar Saint

    Je, ni kweli unaweza kupunguza unene kwa kukata utumbo?

    Wasalaam, Awali ya yote ni vizuri tukafahamu kuwa baadhi ya maneno yametumika kwa lugha ya kigeni ili kutoathiri muktadha . “procedure” hii ambayo kitaalamu inaitwa GASTRIC BYPASS SURGERY hii pamoja na procedure nyingine ambazo zinaweza kufanywa kupunguza uzito au unene huitwa BARIATRIC...
  15. Cesar Saint

    MSIMAMO WA KANISA KUHUSU HOMOSEXUALITY AND TRANSGENDERS

    Wasalaam Hatimaye kanisa lenye ushawishi na pengine waumini wengi duniani Catholic of Rome wametoa waraka na msimamo wao kuhusu mapenzi ya jinsia moja (ushoga na usagaji) pamoja na transgenders (sidhani hata kama kuna kiswahili chake fasaha ) jana tarehe 10.06.2019. Ikiwa ni mwendelezo wa...
  16. Cesar Saint

    Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

    Nadhani kila mara hili limekuwa likijirudia kwa kijana mwenzetu Paul Makonda “Hekima ya uongozi “ Kwa mfano unaweza kuwa na mzazi asiye na mvuto wa sura na hata jamii yako ikampachika majina na kumtambua hivyo lakini si hekima wewe kwenda mbele za watu na kusema yale majina anayoitwa mama yako...
  17. Cesar Saint

    CIA: Siku 100 za mapinduzi ya Zanzibar

    Tarehe 12 January 1964 ni siku itakayoendelea kukumbukwa kama siku ya mwisho ya ukomo wa utawala wa KiSultani visiwani Zanzibar. Kuna mambo mengi ambayo hayakuwekwa wazi kuhusiana na mapinduzi haya ya kihistoria kuondoa utawala onevu Zanzibar. Je ni nani alianzisha mapinduzi haya? Nini...
  18. Cesar Saint

    Je unayajua makabila ya wazungu?

    Ni swali pengine wengi wetu tumekuwa tukijiuliza kama ilivyo kwetu sisi waafrika na waarabu Je,wazungu(Europeans) makabila yao ni yapi? Nini kilitokea kwa makabila hayo? Ukweli ni kwamba wazungu wanamakabila,miungu,mila na desturi kama ilivyo kwetu sisi. Kuna rafiki yangu hupenda kuniambia...
  19. Cesar Saint

    Ramani ya Afrika mwaka 1959

    Hivi ndivyo Afrika ingekuwa kama mipaka yake ingewekwa kutokana na Lugha na jamii kubwa (Major Ethinic) mwaka 1959 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom