Kujiamini na kama unajua basi onyesha kuwa unajua na mwisho kuomba Mungu watu wanaojua ni wengi hivyo wakati mwengine huwa ni kuchagua Omba Mungu akupe kibali kwa jopo 9/10 wanaoingia oral huwa wanajua.
Kwamba sheria ya Zanzibar inamtambua Mtanzania bara kama mgeni ? Unafahamu ugumu uliopo kwa mtanzania bara kupata barua hata ya sheha hata kama akiwa na barua ya mwenyekiti wa bara ?
Naomba nikuulize swali rahisi sana ! Kama unaishi Tanzania bara ukitokea Zanzibar utahitaji nini na nini ili uweze kuuziwa/kumiliki Ardhi Tanzania bara ? Na wakati huo huo mtu anayehamia kutoka bara atahitaji nini na nini kuweza kumiliki/kuuziwa ardhi Zanzibar?
Wanzanzibari hawabaguliwi kabisa wakiwa huku Tanganyika hupata haki sawa na fursa sawa . Ila kule visiwani wana ubaguzi sana kiasi kwamba wanaweza kumlamba miguu mzungu hoehae au mwarabu asiye na mbele wala nyuma na kukubagua Mtanzania mwenzao .
Wazanzibari si wote bali asilimia kubwa ni watu waliojaa choyo,wivu,roho mbaya na chuki kwa watu wa Tanzania bara na haswa zaidi Wakristo .
Nasema haya kutokana na uzoefu wangu wa kuishi na kufanya kazi katika visiwa hivi,Tena Unguja ni nafuu ya Pemba . Tatizo kubwa huanzia kwenye udini,uvivu na...
Nimeshakaa na jamaa yangu miaka hiyo tulisoma chuo pamoja bahati ni kuwa nilikuwa na sehemu dsm .
Yule ndugu akaja kuanzia maisha kwangu alikaa anaenda kwenye mishe zake anarudi kulala wakati mwengine tunakula wote au kila mtu anakula anapopajua kwakuwa nilikuwa na mambo yangu na yeye yake...
Unaondokaje nyumbani bila plan umesema ulikuwa na savings ulizifanyia nini ? Kinachonishangaza ni kuwa ulishindwa kupanga hata nyumba za elfu kumi na tano kwa mwezi ufanye michakato mingine au ulienda dodoma kutafuta white collar jobs .
Sasa unarudi dsm ili iweje ili hali nyumbani kwenu hali...
Mambo matano (5) ya kufahamu kuhusu HOMA YA NYANI (MONKEYPOX)
1. Virusi vinavyoeneza Homa ya Nyani vinatokana na familia ya orthopoxvirus ambavyo mara ya kwanza viligunduliwa kuathiri nyani . Virusi hivi vimegawanyika katika makundi makuu mawili (strains/clades): Vile vinavyopatikana Afrika ya...
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote...
Kwa ninavyoelewa sheria za sasa hazibadilishi matokeo ya ndani ya uwanja zaidi adhabu zitahusu wahusika moja kwa moja kwa muktadha huu yaani timu au mchezaji husika au wote kwa pamoja.
Kwenye tamaduni za kiafrika mtu akiaga dunia tunasema kitabu chake dunia huwa kimefungwa hivyo si hekima kuingia katika maneno yatakayo hoji au kujenga hukumu katika maisha yake kwani yeye hataweza kujitetea au kutolea maelezo.
Hivyo basi ni katika hukumu siku ya mwisho ndio yale mema na mabaya...
Mwezi jana nilifika Burundi fursa zipo nyingi ila hizi nchi zinachangamoto kwenye swala la nishati,mawasiliano na miundombinu hivyo kwa wanaotaka kuwekeza kwenye maeneo haya waweke nguvu kwenye maeneo hayo wasiende na mtazamo wa Dar es Salaam au hata Njombe maana Tanzania imeendelea kwa kiasi...
Nikiwa primary mzee alinipa matatu katika kila jambo nilifanyalo
Utii
Bidii
Uaminifu
Nilipoingia sekondari akaniongezea mengine matatu
Quick
Neat
Correct
Katika yote ufanyayo zingatia hayo mambo sita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.