Uongozi CHADEMA, UKAWA, na wadau wa upinzani. Kama mmemualika Lowassa kusaidia kuiangusha C.C.M. basi ni kwa sababu ameonyesha dalili za mafanikio, na hiyo yote inatokana na mikakati yake ya siku nyingi pamoja na timu yake, ujumbe wake kwa umma, historia na mvuto wake kwa jamii.
Kama ndie...
Siku ya kwanza Mwigulu Nchemba aliapishwa Naibu Waziri.
Ya pili akakutana na waandishi kusema alikuwa wa kwanza darasani B.A. na M.A na PhD inayokuja ( japo alifeli darasa la saba kabla ya kubadili jina.)
Siku ya tatu akaenda kwenye Msiba wa diwani Kigamboni, akawasilisha michango ya chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.