Ninawaletea experience yangu ilionitokea baada ya kupoteza SIM card yangu. Ilikuwa ya ijumaa kuu sikuiona, basi ijumaa kuu nikaamkia voda wakani jazia form niipeleke polisi service ilikuwa powakabisa. Sasa huko polisi madudu yao sijui nani alianzisha huu utaratibu na akawapa mamlaka polisi...
Toyota Mark X nataka kujuwa zaidi kwa wale wengine wanazozitumia kama kuna common changamoto wanazokutana nazo zaidi ya kujaza full tank Ltrs 70 na uchumi wa sasa. Kwenye kuitumia kwa matumizi ya kila siku nini kinajitokezaga mbeleni. Juzi tuu nilienda kwa fundi wangu nayemuamini akaniambia hii...
Nina hili swala la visa za kuja kutembelea bongo kwa wazungu sasa zipande. Wamekuwa wakitunyonya mda mrefu wao kuja bongo ni $50 lakini nchi nyingi za huko mbele visa kwanza unapeleka mpaka bank statement na vitu unavyo miliki alafu ndo wanakugongga kuanzia $150-$ 7000huko. Sasa kwa nchi yetu...
Samsung is taking a page from Apple with the introduction of a gold version of its Galaxy S4 smartphone.
"Introducing the new #GalaxyS4 Gold Edition - for a style that's uniquely yours!" Samsung said on itsSaudi Arabia Twitter feed. "Elegance is a touch of gold," reads the tagline above a photo...
http://live.arstechnica.com/wwdc-2013-keynote-liveblog/
Kwawale wenzangu team apple ingieni hapo mjionee vipya vijavyo kwenye Mac OSX na iOS 7
New OSX is code name Mavericks inatoka fall lakini hawajasema bei labda itakuwa kama $29 kama osx lion.
Ios7 imetulia wamebadilisha muonekano wa apps...
WAtu wamejaa kwenye uzinduzi wa Xbox one.... Naona microsoft wamefanya kazi nzuri. Kitu hiki kinakuja november au december mlimani city somewhere. Bei wameweka $499 kwa US sasa huku kwetu sijui wahindi watatudunga bei gani....
Xbox 360 nayo imeongezewa kiwango kuanzia leo kwa Xbox360 mpya $200...
RAV 4 short chasis inauzwa kama inavyoonekana kwenye picha
In a good condition, no technical problem
Millage : 235,000 km
Year of Man: 1994
Transmission: Manual
Price : 6.5 m
Mimi naona hawa jamaa Apple wanajiamini sana kuingia kwenye hii market ya 7" na kuuza kifaa chao for $330 wakati wengine wanaanzia $200. Hata mimi nilizania kitakuwa labda kuanzia $250. Lakini pia nataka kukumbusha hawa jamaa wa apple wao wanatenge vifaa ndo vinavyo waingiziaa hela sana kwenye...
Habari ndo hiyo sasa nasubiria matokeo ya nokia,RIM,microsoft na sumsung tuone nani yupo creative i.e. product out of the shelves money in the bank siyo ushabiki tuu.
Huu ni mtazamo wangu tuu serikali ilikuwa ianze kutumia au kununua gari za bei nafuu kwa watumishi wake wa ngazi za juu. Sasa leo katika pitapita zangu posta nimeshangaa sana kuyaona ma v8 mengi na hizi namba za STK,STJ na SU kwani sikuizi wanaandika tuu request hata wasaidizi kupewa hayo nini...
Bongo Hatumo soma zaidi hapo chini...... Haka kasurvey kametoka BBC lakini nazani wamesahau safari ya mbagala 2 mwenge jioni.... Kwanza lazima upiganie gari, alafu nauli kubwa na bado hujajumlisha foleni hapo na umesimama mpaka unaishiwa ganzi. Naomba usiwe barabarani siku kuna mechi ya simba na...
Sera ya taifa ya maendeleo ya vijana iliundwa ili kutoa muongozo kwa vijana na asasi za vijana. Mkataba wakwanza ulitoka mwaka 1996 lakini ulikuwa na mapungufu mengi kwakuwa miaka hiyo ya zamani serikali na nchi kwa ujumla ilikuwa haina changamoto nyingi na wahusika hasa vijana hawakuhsishwa...
Habari,
Nahitaji kununua line ya u wakala wa tigo pesa na M pesa kwa mtu yeyote alieshindwa biashara......
Hii ni kutoka na que kubwa ya wateja kwa ajili ya kupata uwakala M pesa na mimi nipo tyr kuanza biashara wakati huu
Pia Tigo pesa wamesimamisha usajili wa mawakala kwa sababu zao za...
follow the links hii ni ya nokia lumia-920
Nokia Lumia 920 hands-on: the dual-core, HD Windows Phone 8 flagship to take on the beasts -- Engadget
hii ni ya Motorolaz droid Razr
Motorola Droid RAZR HD hands-on: a 720p Android ICS update with 2,500mAh battery life -- Engadget
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.