watts 400 na hilo battery ilirun nyumba nzima usiku kucha kama miezi mitatu alafu ikaanza kuzingua. Ni taa tuu za nje kama 8 za wat 3 na maramoja moja masaa kama matano tv.
hihi N200 battery zenu Vimeo sana nimenunu hii mwaka jana Mwezi wa kumi na mbili nikafunga mjengoni mwezi wa nne tuu mwaka huu battery hazimalizi masaa mawili wakati mwanzoni zilikuwa zinafanya kazi usiku wote mpaka asubuhi
miye ningekushauri kama gari unahistoria Yake ni yako mwenyewe unaitumia kuliko ukafunguo engine upige mswaki bora uwe unaendelea tuu kuongeza oil kama haitoi Moshi mweupe ule nyuma
Miye kiliochangu ni bando tuu tangu Nape apewe rungu tunaibiwa tuuu alafu yeye anatukejeli kama siye watoto. Hata kuweka bando mtu afanye application ya kazi tuu bando la buku mbili halimalizi dk 20 ukiwa umefungua tuu browse ya ajira portal. Hawa jamaa wenye vitambi wajifikiri upya wanatupeleka...
Dualis zimekuwa nyingi sana mtaani Kama ist tuu sasa zinakaribiana. Kunakipindi ist nazenyewe watu walisema zinawaka moto sana. Ila ukitaka kujua tatizo kubwa ni vile vifaa vinavyoongezwa after market kwenye gari. Unaenda pale lumumba unaambiwa kuna fundi akifungie alamu sawa, Redio sawa lights...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.